Wabunge wanawake wapewa changamoto
WABUNGE wanawake wametakiwa kujenga uwezo wa kujenga hoja na kuhakikisha suala la mgawanyiko wa rasilimali kwenye bajeti ya Serikali unafanywa kwa mtazamo wa kijinsia ili kusaidia kuondoa umasikini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto
11 years ago
Habarileo08 Sep
Waandishi wapewa changamoto
BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limetaka waandishi wa habari mkoani Dodoma kuripoti vyanzo vya migogoro kuliko matokeo ili kupunguza madhara yanayoweza kutokea katika jamii.
11 years ago
Mwananchi12 Oct
Wanahabari Ruvuma wapewa changamoto
11 years ago
Michuzi.jpg)
Vijana wapewa changamoto ya kutumia uzazi wa mpango
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Dewji Blog13 May
Waandishi wa habari wapewa changamoto ya ubunifu, kujituma
Na Nathaniel Limu, Singida
WAANDISHI wa Habari mkoani Singida, wamehimizwa kuondokana na uandishi habari wa mazoea na badala yake wabadilike na kuwa wabunifu ili kazi yao iweze kukidhi viwango vya wakati uliopo.
Changamoto hiyo imetolewa hivi karibuni na mwandishi wa habari mkongwe, Eda Sanga wakati akizungmza kwenye semina ya Uhabarisho wa Mfuko wa Habari Tanzania (Tanzania Media Fund TMF) kwa waandishi wa habari mkoa wa Singida.
Amesema waandishi wa habari ule wa business as usual, haufai...
5 years ago
Michuzi
SEKTA YA AJIRA IMEBAKI KUWA CHANGAMOTO KIDUNIA,NBC WAPEWA TUZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Sulubu Hassan amesema ukosefu wa ajira kwa vijana umebaki kuwa changamoto ya kidunia na kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Kazi Duniani (ILO).
Amesema Kuhusu mwenendo wa soko la ajira kwa mwaka huu inaonesha zaidi ya watu Milioni 187.7 duniani hawana kazi.
Samia amesema katika Jumuiya ya SADC inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nguvu kazi ni vijana hivyo hawana budi kuitumia ipasvyo katika kukuza...
5 years ago
Michuzi
WABUNGE WAPEWA MAFUNZO KUHUSU MPANGO WA MAENDELEO ENDELEVU (SDG 1&20).

Wajumbe wa Kamati za Huduma na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji wakifatilia mafunzo ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu kwenye maeneo ya kuondoa njaa pamoja na Afya na ustawi wa Watu (SDG 1&2) yaliyotolewa na Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Ndg. Josiah Mwabeza katika semina iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni mjini Dodoma.

10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Wanawake wapewa ushauri wa kupima afya
WANAWAKE wametakiwa kujenga mazoea ya kupima saratani ya shingo ya kizazi mapema ili waweze kupata tiba iwapo watagundulika kuwa na dalili za ugonjwa huo. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili Dk...
10 years ago
Michuzi
Wabunge wapewa Semina ya Usambazaji wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012



BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI