Waandishi wapewa changamoto
BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limetaka waandishi wa habari mkoani Dodoma kuripoti vyanzo vya migogoro kuliko matokeo ili kupunguza madhara yanayoweza kutokea katika jamii.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog13 May
Waandishi wa habari wapewa changamoto ya ubunifu, kujituma
Na Nathaniel Limu, Singida
WAANDISHI wa Habari mkoani Singida, wamehimizwa kuondokana na uandishi habari wa mazoea na badala yake wabadilike na kuwa wabunifu ili kazi yao iweze kukidhi viwango vya wakati uliopo.
Changamoto hiyo imetolewa hivi karibuni na mwandishi wa habari mkongwe, Eda Sanga wakati akizungmza kwenye semina ya Uhabarisho wa Mfuko wa Habari Tanzania (Tanzania Media Fund TMF) kwa waandishi wa habari mkoa wa Singida.
Amesema waandishi wa habari ule wa business as usual, haufai...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto
10 years ago
Habarileo07 Apr
Wabunge wanawake wapewa changamoto
WABUNGE wanawake wametakiwa kujenga uwezo wa kujenga hoja na kuhakikisha suala la mgawanyiko wa rasilimali kwenye bajeti ya Serikali unafanywa kwa mtazamo wa kijinsia ili kusaidia kuondoa umasikini.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Wanahabari Ruvuma wapewa changamoto
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Vijana wapewa changamoto ya kutumia uzazi wa mpango
![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4YYlR7lfFCA/U_8Adug_VwI/AAAAAAAGKGg/LV5ZZDeqbyc/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yCBQJiftaFE/U_8AdQ3BcyI/AAAAAAAGKGo/WqvCumkTrok/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
9 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAPEWA ELIMU YA MASUALA YA KODI
10 years ago
Michuzi06 Aug
Waandishi wa Mitandao ya Kijamii Wapewa Elimu ya Afya na Uzazi
![Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Nguke Mwakatundu akifungua semina hiyo leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0005.jpg)
![Mkurugenzi wa Huduma za Kliniki wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Sunday Dominico akiwasilisha mada katika semina hiyo leo ofisi za WLF.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/31.jpg)
![Meneja Mawasiliano wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Victoria Marijani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Wahariri na waandishi wa habari wapewa semina ya uhifadhi wa mazingira
Meneja Uhifadhi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania, Dr. Amani Ngusaru ,akizungumza na wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo vya habari mbalimbali katika semina ilioandaliwa na (WWF) iliofanyika Disemba 2-3, 2014 mkoani Morogoro juu ya utunzaji wa mazingira ili kuleta uwiano sawa wa rasilimali zinazopatikana maeneo mbalimbali nchini.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON).
Mkurugenzi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato akielezea malengo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w55KenLOtUI/XmDeIRgDBBI/AAAAAAABMds/0MdjxeYJ5ysAOkWu9WWJZ4eM_dSR3rVvwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0042.jpg)
SEKTA YA AJIRA IMEBAKI KUWA CHANGAMOTO KIDUNIA,NBC WAPEWA TUZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Sulubu Hassan amesema ukosefu wa ajira kwa vijana umebaki kuwa changamoto ya kidunia na kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Kazi Duniani (ILO).
Amesema Kuhusu mwenendo wa soko la ajira kwa mwaka huu inaonesha zaidi ya watu Milioni 187.7 duniani hawana kazi.
Samia amesema katika Jumuiya ya SADC inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nguvu kazi ni vijana hivyo hawana budi kuitumia ipasvyo katika kukuza...