Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto
Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ee4UN2FQfqI/U4zh-ak4jZI/AAAAAAACiuI/7sm-9MOdgkY/s72-c/14.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,KINANA NDANI YA MERERANI,AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA MADINI NA KUSIKILZA CHANGAMOTO ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ee4UN2FQfqI/U4zh-ak4jZI/AAAAAAACiuI/7sm-9MOdgkY/s1600/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wB0YfRykrlY/U4zh8Mu5WeI/AAAAAAACiuA/NRC90O9WADA/s1600/15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cF3RV8e731I/U4ziDniQBdI/AAAAAAACiuY/dxqyoJHfn2c/s1600/17.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Sep
Waandishi wapewa changamoto
BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limetaka waandishi wa habari mkoani Dodoma kuripoti vyanzo vya migogoro kuliko matokeo ili kupunguza madhara yanayoweza kutokea katika jamii.
10 years ago
Habarileo07 Apr
Wabunge wanawake wapewa changamoto
WABUNGE wanawake wametakiwa kujenga uwezo wa kujenga hoja na kuhakikisha suala la mgawanyiko wa rasilimali kwenye bajeti ya Serikali unafanywa kwa mtazamo wa kijinsia ili kusaidia kuondoa umasikini.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Wanahabari Ruvuma wapewa changamoto
11 years ago
Dewji Blog13 May
Waandishi wa habari wapewa changamoto ya ubunifu, kujituma
Na Nathaniel Limu, Singida
WAANDISHI wa Habari mkoani Singida, wamehimizwa kuondokana na uandishi habari wa mazoea na badala yake wabadilike na kuwa wabunifu ili kazi yao iweze kukidhi viwango vya wakati uliopo.
Changamoto hiyo imetolewa hivi karibuni na mwandishi wa habari mkongwe, Eda Sanga wakati akizungmza kwenye semina ya Uhabarisho wa Mfuko wa Habari Tanzania (Tanzania Media Fund TMF) kwa waandishi wa habari mkoa wa Singida.
Amesema waandishi wa habari ule wa business as usual, haufai...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Vijana wapewa changamoto ya kutumia uzazi wa mpango
![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4YYlR7lfFCA/U_8Adug_VwI/AAAAAAAGKGg/LV5ZZDeqbyc/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yCBQJiftaFE/U_8AdQ3BcyI/AAAAAAAGKGo/WqvCumkTrok/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
5 years ago
MichuziCORONA YASABABISHA WAFANYABIASHARA KUCHELEWA KUAGIZA SUKARI KWA WAKATI, SERIKALI YAINGILIA KATI YATATUA CHANGAMOTO HIYO - WAZIRI BASHUNGWA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imewahakikishia watanzania kuwa hakuna upungufu wa sukari Tanzania hivyo wananchi hawapaswi kuwa na wasiwasi wa aina yoyote ile.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa...
10 years ago
Mwananchi08 May
Pinda awapa changamoto wafanyabiashara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w55KenLOtUI/XmDeIRgDBBI/AAAAAAABMds/0MdjxeYJ5ysAOkWu9WWJZ4eM_dSR3rVvwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0042.jpg)
SEKTA YA AJIRA IMEBAKI KUWA CHANGAMOTO KIDUNIA,NBC WAPEWA TUZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Sulubu Hassan amesema ukosefu wa ajira kwa vijana umebaki kuwa changamoto ya kidunia na kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Kazi Duniani (ILO).
Amesema Kuhusu mwenendo wa soko la ajira kwa mwaka huu inaonesha zaidi ya watu Milioni 187.7 duniani hawana kazi.
Samia amesema katika Jumuiya ya SADC inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nguvu kazi ni vijana hivyo hawana budi kuitumia ipasvyo katika kukuza...