Wanahabari Ruvuma wapewa changamoto
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Joseph Mkirikiti amewataka waandishi wa habari kuhamasisha wananchi kujiandikisha ili wapate vitambulisho vya Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Wanahabari wapewa semina kuhusu magonjwa yasiyoambukiza
Kaimu Mkurugenzi Magonjwa Yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kwenye semina ya siku moja kuhusu magonjwa yasiyoambukiza. Kulia ni Meneja Mradi Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza (TANCDA).
Kaimu Mkurugenzi Magonjwa yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kulia), akimuelekeza jambo Ofisa Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Waandishi wapewa changamoto
BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limetaka waandishi wa habari mkoani Dodoma kuripoti vyanzo vya migogoro kuliko matokeo ili kupunguza madhara yanayoweza kutokea katika jamii.
10 years ago
GPLWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA
10 years ago
Habarileo07 Apr
Wabunge wanawake wapewa changamoto
WABUNGE wanawake wametakiwa kujenga uwezo wa kujenga hoja na kuhakikisha suala la mgawanyiko wa rasilimali kwenye bajeti ya Serikali unafanywa kwa mtazamo wa kijinsia ili kusaidia kuondoa umasikini.
11 years ago
Dewji Blog13 May
Waandishi wa habari wapewa changamoto ya ubunifu, kujituma
Na Nathaniel Limu, Singida
WAANDISHI wa Habari mkoani Singida, wamehimizwa kuondokana na uandishi habari wa mazoea na badala yake wabadilike na kuwa wabunifu ili kazi yao iweze kukidhi viwango vya wakati uliopo.
Changamoto hiyo imetolewa hivi karibuni na mwandishi wa habari mkongwe, Eda Sanga wakati akizungmza kwenye semina ya Uhabarisho wa Mfuko wa Habari Tanzania (Tanzania Media Fund TMF) kwa waandishi wa habari mkoa wa Singida.
Amesema waandishi wa habari ule wa business as usual, haufai...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Vijana wapewa changamoto ya kutumia uzazi wa mpango
![](http://4.bp.blogspot.com/-PM0EHUn1UwM/U_8Ada5fbjI/AAAAAAAGKGc/EMXKoFk4hfY/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4YYlR7lfFCA/U_8Adug_VwI/AAAAAAAGKGg/LV5ZZDeqbyc/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yCBQJiftaFE/U_8AdQ3BcyI/AAAAAAAGKGo/WqvCumkTrok/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
StarTV05 May
Kuelekea uchaguzi mkuu, Sitta atoa changamoto wanahabari.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Waziri wa uchukuzi Samwel Sitta amewataka waandishi wa habari kuwa na ujasiri wa kuhoji mambo mazito na magumu wanayoandika hususan ya kisiasa, yanayomgusa mtu binafsi, ili kulinda dhamana yao kwa taifa na watu wake.
Amesema, haitakuwa sawa kuendelea kuandika habari zinazoelemea upande mmoja dhidi ya mtu mwingine, kwa kuwa nyingi zimekuwa na athari kubwa kuanzia ngazi ya familia hadi taifa.
Amesema inasikitisha kuona waandishi wa habari wakiandika...
10 years ago
GPLWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU WIKI YA USALAMA BARABARANI YA UMOJA WA MATAIFA JIJINI DAR LEO