WAANDISHI WA HABARI WAPEWA ELIMU YA MASUALA YA KODI
Meneja wa Kampuni ya Business Connexion Tanzania Limited Ebenezer Massawe akitoa mafunzo juu ya kupata taarifa ya vyanzo vya mapato kwa waandishi wahabari wakati wa semina iliyoandaliwa na Chama cha waandishi wa habari za kodi Tanzania (TAWNET jijini Dar es Salaam. Kwa udhamini wa Vodacom Tanzania.
Afisa Mwandamizi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Hamisi Lupenja,akifafanua jambo kwa waandishi wahabari (hawapo pichani ) wakati wa semina iliyoandaliwa na Chama cha waandishi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4-mHwGbycbQ/VHMXZepYdnI/AAAAAAAGzKw/ynkd-XeJi8Y/s72-c/unnamed.jpg)
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) umeipongeza kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kuwa walipa kodi bora wakubwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-4-mHwGbycbQ/VHMXZepYdnI/AAAAAAAGzKw/ynkd-XeJi8Y/s1600/unnamed.jpg)
Sambamba na kampuni ya Vodacom, TAWNET pia imeipongeza kampuni ya bia Tanzania (TBL) na Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC) kuweza kushika nafasi katika makampuni matatu bora. Mwaka huu, mchango wa Vodacom katika pato la taifa umeongezeka na kuisukuma kampuni hiyo katika nafasi ya pili kutoka ya tatu waliyoshika...
11 years ago
Dewji Blog13 May
Waandishi wa habari wapewa changamoto ya ubunifu, kujituma
Na Nathaniel Limu, Singida
WAANDISHI wa Habari mkoani Singida, wamehimizwa kuondokana na uandishi habari wa mazoea na badala yake wabadilike na kuwa wabunifu ili kazi yao iweze kukidhi viwango vya wakati uliopo.
Changamoto hiyo imetolewa hivi karibuni na mwandishi wa habari mkongwe, Eda Sanga wakati akizungmza kwenye semina ya Uhabarisho wa Mfuko wa Habari Tanzania (Tanzania Media Fund TMF) kwa waandishi wa habari mkoa wa Singida.
Amesema waandishi wa habari ule wa business as usual, haufai...
10 years ago
Michuzi06 Aug
Waandishi wa Mitandao ya Kijamii Wapewa Elimu ya Afya na Uzazi
![Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Nguke Mwakatundu akifungua semina hiyo leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0005.jpg)
![Mkurugenzi wa Huduma za Kliniki wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Sunday Dominico akiwasilisha mada katika semina hiyo leo ofisi za WLF.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/31.jpg)
![Meneja Mawasiliano wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Victoria Marijani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Wahariri na waandishi wa habari wapewa semina ya uhifadhi wa mazingira
Meneja Uhifadhi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania, Dr. Amani Ngusaru ,akizungumza na wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo vya habari mbalimbali katika semina ilioandaliwa na (WWF) iliofanyika Disemba 2-3, 2014 mkoani Morogoro juu ya utunzaji wa mazingira ili kuleta uwiano sawa wa rasilimali zinazopatikana maeneo mbalimbali nchini.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON).
Mkurugenzi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato akielezea malengo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--0lcQ_XVf-A/Uu-JO9AFS7I/AAAAAAAFKqo/_bIPbFmvVSU/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Mawaziri wa Elimu Tanzania Bara na Zanzibar wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu
Mawaziri hao walikutana jana mjini Zanzibar na kuongea na waandishi wa habari kuhusu maendeleo...
9 years ago
MichuziZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KIWANDA CHA TBL, WAFANYABIASHARA NCHINI WAPEWA WITO.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HAalbelt-bw/U62FznTV5OI/AAAAAAAFtO8/V5nqATDwL7w/s72-c/MMGM1586.jpg)
WAANDISHI WA HABARI KUTOKA NCHI ZAIDI YA 14 BARANI AFRIKA WAPEWA MAFUNYO YA UCHUNGUZI WA UHALIFU NCHINI MAURITIUS
![](http://2.bp.blogspot.com/-HAalbelt-bw/U62FznTV5OI/AAAAAAAFtO8/V5nqATDwL7w/s1600/MMGM1586.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ou8Q7e3eicw/Uu-JAcr-1WI/AAAAAAAFKqQ/1ReLs6n0yz8/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Mawaziri wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu bara na visiwani
![](http://2.bp.blogspot.com/-ou8Q7e3eicw/Uu-JAcr-1WI/AAAAAAAFKqQ/1ReLs6n0yz8/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rDCAM0ZP9a8/Uu-JATEVwJI/AAAAAAAFKqU/5675oj3clH4/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hqOeXIrIRMk/Uu-JAouxp3I/AAAAAAAFKqY/RaoUMm0fvRg/s1600/unnamed+(37).jpg)
10 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATOA ELIMU YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA WAANDISHI WA HABARI