Mawaziri wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu bara na visiwani
![](http://2.bp.blogspot.com/-ou8Q7e3eicw/Uu-JAcr-1WI/AAAAAAAFKqQ/1ReLs6n0yz8/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali zanzibar, Ali Juma Shamuhuna (kulia) akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na Waziri wa Elimu na Ufundi wa Tanzania Bara, Shukuru Kawambwa, mkutano uliowashirikisha pia maofisa kutoka Wizara hizo mbili, ulifanyika kwenye makao makuu ya Wizara ya Elimu mjini Zanzibar. Kushoni ni Waziri wa Elimu na Ufundi wa Tanzania Bara, Dkt. Shukuru Kawambwa
Waziri wa Elimu na Ufundi wa Tanzania Bara, Dkt. Shukuru Kawambwa akizungumza
Mawaziri Ali Juma Shamuhuna na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--0lcQ_XVf-A/Uu-JO9AFS7I/AAAAAAAFKqo/_bIPbFmvVSU/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Mawaziri wa Elimu Tanzania Bara na Zanzibar wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu
Mawaziri hao walikutana jana mjini Zanzibar na kuongea na waandishi wa habari kuhusu maendeleo...
11 years ago
MichuziUONGOZI WA CHAMA CHA MCHEZO WA BASEBALL WAKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR LEO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
9 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAPEWA ELIMU YA MASUALA YA KODI
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Ufisadi, madawa ya kulevya na mauaji ya tembo vimewafanya waandishi kuacha kuandika habari za maendeleo — Muhanika
Katibu Mtendaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT), Henry Muhanika akizungumza na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakati wa kufunga mafunzo hayo ya siku pili mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mhadhiri kutoka Shule ya Uandishi wa habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) Dkt Ayoub Rioba na Kulia ni Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
MATUKIO ya kihalifu kama vile ufisadi, rushwa, uigizaji na usafirishaji wa...
10 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATOA ELIMU YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA WAANDISHI WA HABARI
10 years ago
MichuziKWIECO YATOA ELIMU YA HAKI ZA BINADAMU KWA WAANDISHI WA HABARI MKOANI KILIMANJARO...