Ufisadi, madawa ya kulevya na mauaji ya tembo vimewafanya waandishi kuacha kuandika habari za maendeleo — Muhanika
Katibu Mtendaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT), Henry Muhanika akizungumza na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakati wa kufunga mafunzo hayo ya siku pili mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mhadhiri kutoka Shule ya Uandishi wa habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) Dkt Ayoub Rioba na Kulia ni Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
MATUKIO ya kihalifu kama vile ufisadi, rushwa, uigizaji na usafirishaji wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_100557_001.jpg)
MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BL7ffa8fjoc/Xnxd-8PWteI/AAAAAAAAI3A/rPPCQICNfIMspYar5UxMxC29Jk4Xe-JYwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_101415_806.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0lTGQFCnYo/XnylgUVdMQI/AAAAAAAAI3g/4jj4AoCrXuE8KdlcgYiEGDqvsdWTDT8pQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
10 years ago
GPLCHID BENZ: ATOZWA FAINI, AAHIDI KUACHA MADAWA YA KULEVYA
9 years ago
StarTV04 Dec
Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta
Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.
Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xESQbmuxWTA/XtYDuk9aurI/AAAAAAALsSY/s8_Z-3oytzQUZ8YaBz3PaZU6YQn0yhsDQCLcBGAsYHQ/s72-c/16513870_101.jpg)
JET YAENDELEA KUWANOA WAANDISHI WA HABARI KUANDIKA HABARI ZINAZOHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA,WANYAMAPORI
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania(JET) imevikumbusha vyombo vya habari nchini kuwa vinavyo nafasi kubwa ya kuwezesha watunga sera kutunga sera zitakazosaidia kukabiliana na biashara haramu ya wanyama pori pamoja na ujangili.
Kwa upande wa jamii nayo imeelezwa wanalo jukumu la kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya uhifadhi wa mazingira na wanyamapori kusimama imara katika kukomesha uharibifu wa mazingira na zaidi biashara haramu ya...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
HABARI YA KUSIKITISHA NA KUTISHA KUHUSU VIJANA WETU WANAOKWENDA CHINA NA HONGKONG KUUZA MADAWA YA KULEVYA SOMA HABARI KAMILI LIVE!
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2593248/highRes/924352/-/maxw/600/-/idoqeo/-/nzowa.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t4hruq-QPhs/Xux8qOVGbVI/AAAAAAALuj4/QALD5HWKBB0ywEZkUUzFFg2bCFPXjlzAACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200613_122126_145.jpg)
WAANDISHI WA HABARI WAOMBWA KUANDIKA MAMBO MAZURI YANAYOFANYWA NA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-t4hruq-QPhs/Xux8qOVGbVI/AAAAAAALuj4/QALD5HWKBB0ywEZkUUzFFg2bCFPXjlzAACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200613_122126_145.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0QaQPcsSlBk/Xux8plXC01I/AAAAAAALuj0/nKEOzaU17VoEqTIk77F-L2LZd7i4WJwqQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200613_133830_193.jpg)
10 years ago
CloudsFM08 Jan
RAY C AFUNGUKA HABARI ZILIZOENEA KUWA AKATISHA DOZI YA MADAWA YA KULEVYA
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’’amefunguka habari zilizoenea kuwa amekatisha dozi ya kuacha madawa ya kulevya ya Methadone anayoichukua katika hospitali ya Mwananyamala,jijini Dar.
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Serikali yahimiza Waandishi nchini kuandika habari kwa kubobea kwenye Sekta
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Juma Nkamia.
Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA
SERIKALI imewashauri Waandishi wa Habari nchini kuchagua na kubobea katika sekta mbalimbali maalum ili kuinua kiwango cha taaluma ya habari na kuwapa wananchi taarifa muhimu kwa umakini zaidi katika nyanja husika ili kuleta maendeleo ya taifa.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Juma Nkamia alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Haroub...
10 years ago
Vijimambo20 Apr
TMF, UN YATOA VYETI KWA WANAHABARI WAANDISHI WA HABARI ZA DAWA ZA KULEVYA
![Mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0271.jpg)
![Mwakilishi wa Mmoja wa Mataifa na Mkuu wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa Tanzania, Dk. Jama Gulaid (kulia) akimpongeza mmoja wa wanahabari kabla ya kupokea cheti chake katika hafla ya wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0280.jpg)