Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JET YAENDELEA KUWANOA WAANDISHI WA HABARI KUANDIKA HABARI ZINAZOHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA,WANYAMAPORI


Na Said Mwishehe,Michuzi TV

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania(JET) imevikumbusha vyombo vya habari nchini kuwa vinavyo nafasi kubwa ya kuwezesha watunga sera kutunga sera zitakazosaidia kukabiliana na biashara haramu ya wanyama pori pamoja na ujangili.

Kwa upande wa jamii nayo imeelezwa wanalo jukumu la kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya uhifadhi wa mazingira na wanyamapori kusimama imara katika kukomesha uharibifu wa mazingira na zaidi biashara haramu ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

JET yahamasisha waandishi kuripoti habari za mazingira

DSC00873

 

Katibu mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Mazingira Tanzania (JET) John Chikomo, akitoa taarifa yake ya utendaji pamoja na fedha mbele ya mkutano mkuu wa mwaka 2013 wa chama hicho. Mkutano huo uliohudhuriwa na wananchama wengi, ulifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Lion iliyopo Sinza jijini Dar-es-salaam.Wa pili kushoto (waliokaa) ni mwenyekiti wa JET, Johnson Mbwambo na anayefuata ni katibu christom Rweyemamu na wa kwanza kulia ni mjumbe wa kamati ya bodi.

Na Nathaniel...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wahariri na waandishi wa habari wapewa semina ya uhifadhi wa mazingira

001

Meneja  Uhifadhi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania, Dr. Amani Ngusaru ,akizungumza na wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo vya habari mbalimbali katika semina ilioandaliwa na (WWF) iliofanyika Disemba 2-3, 2014 mkoani Morogoro juu ya utunzaji wa mazingira ili kuleta uwiano sawa wa rasilimali zinazopatikana maeneo mbalimbali nchini.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON).

002

Mkurugenzi wa  Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato akielezea malengo...

 

5 years ago

Michuzi

JET ILIVYODHAMIRIA KUWEKA MKAKATI WAKE WA KUENDELEA KUWAONOA WAANDISHI WA HABARI ZA MAZINGIRA NCHINI TANZANIA

 Sehemu ya waandishi wa habari za mazingira kutoka vyombo mbalimbali nchini wakiwa kwenye mafunzo yaliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira(JET) hivi karibuni jijini Dar  es Salaam kwa lengo la kuwajengea uwezo.
Mkurugenzi Mtendaji wa JET John Chikomo(kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya JET Dk.Ellen Utaru  Okoedion wakijadilana jambo wakati wa mafunzo hayo.


:Mwandishi Sidi Mgumia akitoa uzoefu wake katika masuala ya uandishi wa habari za mazingira na uhifadhi wakati wa semina...

 

9 years ago

StarTV

Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta

Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.

Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...

 

5 years ago

Michuzi

WAANDISHI WA HABARI WAOMBWA KUANDIKA MAMBO MAZURI YANAYOFANYWA NA SERIKALI

 Rais wa  Umoja wa klabu za Waandishi wa Habari Tanzania(UTPC)Deo Nsokolo akiongea na waandishi wa Habari wa mka wa Ruvuma(hawapo Pichani)jana wakati wa mafunzo ya kuwajengea uelewa waandishi hao juu ya ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi vya Corona mafunzo yaliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari wa mkoa huo sambamba na utoaji wa vifaa mbalimbali ikiwemo Sanitizer,Barakoa na Sabuni kwa Waandishi wa Habari,katikati Katibu Mkuu wa Chama hicho Andrew Chatwanga.Rais wa Muungano...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yahimiza Waandishi nchini kuandika habari kwa kubobea kwenye Sekta

nkamia+px

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Juma Nkamia.

Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA

SERIKALI imewashauri Waandishi wa Habari nchini kuchagua na kubobea katika sekta mbalimbali maalum ili kuinua kiwango cha taaluma ya habari  na kuwapa wananchi taarifa muhimu kwa umakini zaidi katika nyanja husika ili kuleta maendeleo ya taifa.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Juma Nkamia alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Haroub...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ufisadi, madawa ya kulevya na mauaji ya tembo vimewafanya waandishi kuacha kuandika habari za maendeleo — Muhanika

semina pic 1

Katibu Mtendaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT), Henry Muhanika akizungumza na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakati wa kufunga mafunzo hayo ya siku pili mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mhadhiri kutoka Shule ya Uandishi wa habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) Dkt Ayoub Rioba na Kulia ni Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa.

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

MATUKIO ya kihalifu kama vile ufisadi, rushwa, uigizaji na usafirishaji wa...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA HABARI BILA KUPOTOSHA UMMA

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongea na waandishi wa Habari huku akiwaasa kuacha chuki katika masuala yanayohusu mchakato wa Katiba. Mjumbe wa Kamati Namba Nne…

 

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongea na waandishi wa Habari huku akiwaasa kuacha chuki katika masuala yanayohusu mchakato wa Katiba.Mjumbe wa Kamati Namba Nne ya Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Christopher Ole Sendeka akiongea na wandishi wa Habari kuhusu kazi na majukumu ya Kamati yake leo 28 Agosti, 2014. Mjumbe wa Kamati Namba Tatu ya Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Dkt. Francis Michael akiongea na wandishi wa Habari kuhusu kazi na majukumu ya Kamati yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani