Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HABARI YA KUSIKITISHA NA KUTISHA KUHUSU VIJANA WETU WANAOKWENDA CHINA NA HONGKONG KUUZA MADAWA YA KULEVYA SOMA HABARI KAMILI LIVE!

Mkurugenzi wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP), Godfrey Nzowa.Magareza mbalimbali ya China, Hong Kong na Macau yamefurika Watanzania wanaojihusisha na dawa za kulevya.Wanakuja kwa makundi. Wake kwa waume, vijana kwa wazee, wenye elimu na historia tofauti za kimaisha... lakini kilichowaleta China, Hong Kong na Macau ni kimoja tu; biashara ya dawa za kulevya. Hawa ni zaidi ya Watanzania 130 ambao wamefungwa katika magereza mbalimbali kwenye nchi za...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

RAY C AFUNGUKA HABARI ZILIZOENEA KUWA AKATISHA DOZI YA MADAWA YA KULEVYA

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’’amefunguka habari zilizoenea kuwa amekatisha dozi ya kuacha madawa ya kulevya ya Methadone anayoichukua katika hospitali ya Mwananyamala,jijini Dar.

 

11 years ago

GPL

SERIKALI IACHE BLAHBLAH KUHUSU MTANDAO WA NGONO, MADAWA YA KULEVYA CHINA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe. WIKI iliyopita Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe alieleza bungeni kwamba serikali imeshafanikiwa kunasa mtandao wa watu wanaojihusisha na kusafirisha wasichana wa Kitanzania kwenda China kwa ajili ya kuwafanyisha biashara ya ngono. Taarifa hiyo, Chikawe aliitoa Ijumaa iliyopita wakati akihitimisha michango mbalimbali ya wabunge kuhusu bajeti ya wizara yake kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ufisadi, madawa ya kulevya na mauaji ya tembo vimewafanya waandishi kuacha kuandika habari za maendeleo — Muhanika

semina pic 1

Katibu Mtendaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT), Henry Muhanika akizungumza na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakati wa kufunga mafunzo hayo ya siku pili mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mhadhiri kutoka Shule ya Uandishi wa habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) Dkt Ayoub Rioba na Kulia ni Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa.

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

MATUKIO ya kihalifu kama vile ufisadi, rushwa, uigizaji na usafirishaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO

Mtoto, Samwel John akiwa na maumivu makali aliyoyapata baada ya kujeruhiwa kwa kisu.
Na Imelda mtema wa GPLUnyama! Dada wa kazi (hausigeli), aliyetajwa kwa jina moja la Rachel, mkazi wa Tabata-Shule jijini Dar, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchukua kisu jikoni kisha kumchomachoma nacho mtoto, Samwel John (4) anayeishi nyumba ya jirani.

Akizungumzia mkasa huo kwa masikitiko makubwa uliojiri hivi karibuni maeneo hayo, baba mzazi wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la John...

 

11 years ago

GPL

JACK PATRICK ALIVYONASWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA

Jack akiwa chini ya ulinzi. Stori: Stori: waandishi Wetu
MADAI ya kukamatwa kwa tuhuma za kumeza madawa ya kulevya aina ya Heroin nchini China kwa msanii, Video Queen na mwanamitindo maarufu Bongo, Jacqueline Patrick, kumeibua maswali ya kila aina,  mengi yamesemwa, uvumi umeenea, lakini Ijumaa Wikienda linadondosha hatua kwa hatua. Baada ya kuinyaka taarifa hiyo ya aibu kwa staa huyo na taifa kwa jumla, kwa uchungu mkubwa...

 

10 years ago

GPL

UNYAMA! WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO

Na Imelda mtema
Unyama! Dada wa kazi (hausigeli), aliyetajwa kwa jina moja la Rachel, mkazi wa Tabata-Shule jijini Dar, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchukua kisu jikoni kisha kumchomachoma nacho mtoto, Samwel John (4) anayeishi nyumba ya jirani. Mtoto, Samwel John akiwa na maumivu makali aliyoyapata baada ya kujeruhiwa kwa kisu. Akizungumzia mkasa huo kwa masikitiko makubwa uliojiri hivi karibuni maeneo hayo, baba...

 

11 years ago

Michuzi

WARSHA YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANDISHI WA HABARI ZA KITAKWIMU YAFANYIKA MKOANI MOROGORO

Dotto Mwaibale, Morogoro
WAANDISHI wa Habari nchini wametakiwa kutumia taaluma yao kwa ajili ya kuhamasisha Umma kuhusu umuhimu wa Takwimu.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Takwimu za Kiuchumi Morice Oyuke kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa.mjini Morogoro leo asubuhi wakati akifungua Warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu namna bora ya kuandika habari za kitakwimu.
"Ninyi wanahabari ni muhimu katika masuala...

 

10 years ago

Michuzi

Waandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge

Mkurugenzi wa Habari, Elimu kwa Umma na Itifaki wa Bunge Maalum la Katiba, Bw. Jossey Mwakasyuka (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa ajili ya waandishi wa habari kuhusu kuimarisha Uandishi wa Habari za shughuli za Bunge iliyofanyika tarehe 6 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa African Dreams Conference mjini Dodoma. Kulia ni Mshauri wa mambo ya Kiufundi toka Shirika la UNDP, Bi. Anna Kochannesyan.Mhariri Mtendaji Jamhuri Media Limited, Bw. Deodatus Balile akitoa mada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani