HABARI YA KUSIKITISHA NA KUTISHA KUHUSU VIJANA WETU WANAOKWENDA CHINA NA HONGKONG KUUZA MADAWA YA KULEVYA SOMA HABARI KAMILI LIVE!
Mkurugenzi wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP), Godfrey Nzowa.Magareza mbalimbali ya China, Hong Kong na Macau yamefurika Watanzania wanaojihusisha na dawa za kulevya.Wanakuja kwa makundi. Wake kwa waume, vijana kwa wazee, wenye elimu na historia tofauti za kimaisha... lakini kilichowaleta China, Hong Kong na Macau ni kimoja tu; biashara ya dawa za kulevya. Hawa ni zaidi ya Watanzania 130 ambao wamefungwa katika magereza mbalimbali kwenye nchi za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM08 Jan
RAY C AFUNGUKA HABARI ZILIZOENEA KUWA AKATISHA DOZI YA MADAWA YA KULEVYA
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’’amefunguka habari zilizoenea kuwa amekatisha dozi ya kuacha madawa ya kulevya ya Methadone anayoichukua katika hospitali ya Mwananyamala,jijini Dar.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIls9I7MEAhOYJDhrGODQHzKe80LO-5XF2AZCkq3mPJxIjgNzXbKvJVBxJLPdhyQg3Nis0G5*7QYadkNHwcssBKz/chikawa.png?width=650)
SERIKALI IACHE BLAHBLAH KUHUSU MTANDAO WA NGONO, MADAWA YA KULEVYA CHINA
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Ufisadi, madawa ya kulevya na mauaji ya tembo vimewafanya waandishi kuacha kuandika habari za maendeleo — Muhanika
Katibu Mtendaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT), Henry Muhanika akizungumza na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakati wa kufunga mafunzo hayo ya siku pili mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mhadhiri kutoka Shule ya Uandishi wa habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) Dkt Ayoub Rioba na Kulia ni Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
MATUKIO ya kihalifu kama vile ufisadi, rushwa, uigizaji na usafirishaji wa...
10 years ago
Vijimambo24 Oct
WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNXer45ae2WIzlIT6qSnyt4EKE9lf4HULzeGir*V48duKWfaS4Jr--aEjlk64JsKFLs8DjgOmK-3P2XkSsacm1Ut/IMG20141022WA0005.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNXSJS6A0zGLDatjzqmSjHCeOXj0l-sDdBXLgrrDFyeWHmgOMcUDFl5BV2DPYXwDBftTduE96JCg7hCxT*NeMekw/IMG20141022WA0007.jpg?width=650)
Na Imelda mtema wa GPLUnyama! Dada wa kazi (hausigeli), aliyetajwa kwa jina moja la Rachel, mkazi wa Tabata-Shule jijini Dar, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchukua kisu jikoni kisha kumchomachoma nacho mtoto, Samwel John (4) anayeishi nyumba ya jirani.
Akizungumzia mkasa huo kwa masikitiko makubwa uliojiri hivi karibuni maeneo hayo, baba mzazi wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la John...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox60MLwYlttbJpLyFxnN7*dNVsBtw3DO3H2202OIrkEkh4rwNKlZ1iwVU74mtTCd62B5ebURRTsT*eGWwgo-rOf1/jackp.jpg?width=650)
JACK PATRICK ALIVYONASWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXddmpqsj9a*86*9hfFe6l70i2mJLRXimnzOazRlMks7h0Voied7WFrU6LVAKQcXe6FydXgKNpobTU4LnTrS2*A/unyama.jpg)
UNYAMA! WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO
11 years ago
MichuziWARSHA YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANDISHI WA HABARI ZA KITAKWIMU YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
WAANDISHI wa Habari nchini wametakiwa kutumia taaluma yao kwa ajili ya kuhamasisha Umma kuhusu umuhimu wa Takwimu.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Takwimu za Kiuchumi Morice Oyuke kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa.mjini Morogoro leo asubuhi wakati akifungua Warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu namna bora ya kuandika habari za kitakwimu.
"Ninyi wanahabari ni muhimu katika masuala...
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge