WABUNGE WAPEWA MAFUNZO KUHUSU MPANGO WA MAENDELEO ENDELEVU (SDG 1&20).
![](https://1.bp.blogspot.com/-mnXnX1PWRvM/XqRKFqWmeXI/AAAAAAALoME/4RN90XeGaqM8mJIceZejbOj7I91C5AjOQCLcBGAsYHQ/s72-c/9fe06ec3-e552-4803-903a-af16e0cec0fa.jpg)
Wajumbe wa Kamati za Huduma na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji wakifatilia mafunzo ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu kwenye maeneo ya kuondoa njaa pamoja na Afya na ustawi wa Watu (SDG 1&2) yaliyotolewa na Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Ndg. Josiah Mwabeza katika semina iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mheshimiwa Peter Serukamba (Kushoto) akichangia wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
UN kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Tanzania yajipanga kutekeleza Mpango mpya wa Maendeleo Endelevu (SDGs)
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza leo jijini Dar es salaam katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo Endelevu (SDGs).
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akizungumza katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo...
11 years ago
MichuziMKUU WA BIASHARA ENDELEVU WA VODACOM AKAGUA MAENDELEO YA ELIMU YA MAFUNZO YA KOMPYUTA KATIKA SHULE YA SEKONDARI KAMBANGWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yyn5D_GzRRQ/XqGULs6_vWI/AAAAAAALoAo/3pTVL32vWXEEIk6kf11KgvK7uYhcihMIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1db0a729-8cda-4463-9779-47f94f29ceb3.jpg)
WABUNGE WAPEWA MAFUNZO MATOKEO YA MKATABA WA ENEO HURU LA BIASHARA BARA LA AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yyn5D_GzRRQ/XqGULs6_vWI/AAAAAAALoAo/3pTVL32vWXEEIk6kf11KgvK7uYhcihMIgCLcBGAsYHQ/s640/1db0a729-8cda-4463-9779-47f94f29ceb3.jpg)
Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akifungua mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu matokeo ya Mkataba wa eneo huru la biashara la Bara la Afrika katika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama, Mhe. Salum Mwinyi Rehani na kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya...
10 years ago
Habarileo30 Apr
Mpango wa maendeleo waanikwa kwa wabunge
MPANGO wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2015/16 umewasilishwa katika kamati ya mpango wa Bunge zima, huku shabaha ikilengwa katika kuimarisha utengamavu wa viashiria vya uchumi kwa kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani na kupunguza utegemezi.
11 years ago
GPLMKUU WA BIASHARA ENDELEVU WA VODACOM AKAGUA MAENDELEO YA ELIMU YA MAFUNZO YA KOMPYUTA KATIKA SHULE YA SEKONDARI KAMBANGWA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a9cq5j84wmE/VcGyKd7w14I/AAAAAAAHuTs/5UDR5NFDC9E/s72-c/UntitledU1.png)
NCHI WANACHAMA WAPITISHA TAMKO KUHUSU AGENDA MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
![](http://3.bp.blogspot.com/-a9cq5j84wmE/VcGyKd7w14I/AAAAAAAHuTs/5UDR5NFDC9E/s640/UntitledU1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SDH9k2dLhNQ/VcGyK1p9UMI/AAAAAAAHuT0/jpExkiJuizE/s640/UntitledU2.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tn8_2UAiQbQ/UvXXt4Dd9UI/AAAAAAAFLtM/t136cqeDR24/s72-c/unnamed+(48).jpg)
TASWIRA YA MKUTANO WA NANE WA MWISHO KUHUSU MAENDELEO ENDELEVU BAADA YA 2015
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VExZKbqu8ns/VL_No0rRPdI/AAAAAAAG-ww/6glfGH2sHE4/s72-c/unnamed1.jpg)
MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA WAPEWA MAFUNZO KUHUSU TAKWIMU RASMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VExZKbqu8ns/VL_No0rRPdI/AAAAAAAG-ww/6glfGH2sHE4/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IEIrqBcu1ic/VL_NpOHICNI/AAAAAAAG-w0/gXxkC5-lBY0/s1600/unnamed2.jpg)