NCHI WANACHAMA WAPITISHA TAMKO KUHUSU AGENDA MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
![](http://3.bp.blogspot.com/-a9cq5j84wmE/VcGyKd7w14I/AAAAAAAHuTs/5UDR5NFDC9E/s72-c/UntitledU1.png)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon, akiwa na Mabalozi Macharia Kamau wa Kenya na David Donoghue wa Ireland wakati walipozungumza na waandishi wa habari kuelezea namna mchakato wa majadiliano yaliyokamilisha na hatimaye kupitishwa nan chi wanachama Tamko kuhusu Ajenda za Maendeleo Endelevu baada ya 2015. Tamko hilo lilipitishwa jumapili usiku. Mabalozi wao ndio waliosimamia mchakato mzima wa majadiliano hayo.
Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
UN kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7N9ELH5rsMI/Vefi1FIP0OI/AAAAAAAH1_k/Q_GaX0RAn-E/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mnXnX1PWRvM/XqRKFqWmeXI/AAAAAAALoME/4RN90XeGaqM8mJIceZejbOj7I91C5AjOQCLcBGAsYHQ/s72-c/9fe06ec3-e552-4803-903a-af16e0cec0fa.jpg)
WABUNGE WAPEWA MAFUNZO KUHUSU MPANGO WA MAENDELEO ENDELEVU (SDG 1&20).
![](https://1.bp.blogspot.com/-mnXnX1PWRvM/XqRKFqWmeXI/AAAAAAALoME/4RN90XeGaqM8mJIceZejbOj7I91C5AjOQCLcBGAsYHQ/s640/9fe06ec3-e552-4803-903a-af16e0cec0fa.jpg)
Wajumbe wa Kamati za Huduma na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji wakifatilia mafunzo ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu kwenye maeneo ya kuondoa njaa pamoja na Afya na ustawi wa Watu (SDG 1&2) yaliyotolewa na Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Ndg. Josiah Mwabeza katika semina iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni mjini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3bed3a0b-f135-4f5b-961e-1731a5428536.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tn8_2UAiQbQ/UvXXt4Dd9UI/AAAAAAAFLtM/t136cqeDR24/s72-c/unnamed+(48).jpg)
TASWIRA YA MKUTANO WA NANE WA MWISHO KUHUSU MAENDELEO ENDELEVU BAADA YA 2015
10 years ago
Michuzi05 Feb
10 years ago
Vijimambo29 Apr
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI WANACHAMA WA SADC KUHUSU UENDELEZAJI VIWANDA, HARARE ZIMBABWE.
![AD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD1.jpg)
![AD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD2.jpg)
![AD3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
LAPF na fursa ya uchumi endelevu kwa wanachama
KATIKA nchi zilizoendelea ili upate madaraka ya kuwatumikia watu inabidi uwaeleze ni jinsi gani utawasaidia kuwainua kiuchumi. Baada ya wananchi kuielewa vema mipango yako ya kiuchumi na kuamini inatekelezeka, watakuunga...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J_tAh0X--fw/VIdabrDJPlI/AAAAAAAG2Q0/lol9Gagkkco/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
5 years ago
MichuziMKUTANO WA WATAALAMU WA NISHATI NCHI ZA SADC WAFUNGWA LEO JIJINI DAR,WAPITISHA SHERIA RASMI ZA KUSIMAMIA MIRADI YA KIMKAKATI
Hayo yamesemwa leo Ijumaa (Februari 28,2020) Jijini Dar es Salaama na Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati,Adam Zuberi wakati akifunga mkutano wa siku nne wa Kamati ya Wataalamu wa Nishati...