UN kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Umoja wa Mataifa kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s72-c/unnamed.png)
UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE: Anjenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s640/unnamed.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hPIPvvePRgM/VgTo0YE2d0I/AAAAAAAH7Fo/ZXsiBlAtUaE/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a9cq5j84wmE/VcGyKd7w14I/AAAAAAAHuTs/5UDR5NFDC9E/s72-c/UntitledU1.png)
NCHI WANACHAMA WAPITISHA TAMKO KUHUSU AGENDA MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
![](http://3.bp.blogspot.com/-a9cq5j84wmE/VcGyKd7w14I/AAAAAAAHuTs/5UDR5NFDC9E/s640/UntitledU1.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SDH9k2dLhNQ/VcGyK1p9UMI/AAAAAAAHuT0/jpExkiJuizE/s640/UntitledU2.png)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7N9ELH5rsMI/Vefi1FIP0OI/AAAAAAAH1_k/Q_GaX0RAn-E/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XslRXUoLjDw/VgURtJb5MiI/AAAAAAAD9eM/eNe9VS1mADY/s72-c/Icons-FINAL.png)
UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE
![](http://2.bp.blogspot.com/-XslRXUoLjDw/VgURtJb5MiI/AAAAAAAD9eM/eNe9VS1mADY/s640/Icons-FINAL.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mnXnX1PWRvM/XqRKFqWmeXI/AAAAAAALoME/4RN90XeGaqM8mJIceZejbOj7I91C5AjOQCLcBGAsYHQ/s72-c/9fe06ec3-e552-4803-903a-af16e0cec0fa.jpg)
WABUNGE WAPEWA MAFUNZO KUHUSU MPANGO WA MAENDELEO ENDELEVU (SDG 1&20).
![](https://1.bp.blogspot.com/-mnXnX1PWRvM/XqRKFqWmeXI/AAAAAAALoME/4RN90XeGaqM8mJIceZejbOj7I91C5AjOQCLcBGAsYHQ/s640/9fe06ec3-e552-4803-903a-af16e0cec0fa.jpg)
Wajumbe wa Kamati za Huduma na Maendeleo ya Jamii na Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji wakifatilia mafunzo ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu kwenye maeneo ya kuondoa njaa pamoja na Afya na ustawi wa Watu (SDG 1&2) yaliyotolewa na Mchumi kutoka Wizara ya Fedha, Ndg. Josiah Mwabeza katika semina iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni mjini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3bed3a0b-f135-4f5b-961e-1731a5428536.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Dkt. Yamungu Kayandabila: “Sayansi ni muhimu sana katika kuyafikia malengo ya Agenda 2030”
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Yamungu Kayandabila akizungumza na wadau wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia katika mkutano maalum wa siku ya Sayansi Duniani. Kushoto kwake ni Afisa utawala na fedha wa UNESCO, Spencer Bokosha ambaye alimwakilisha Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO- Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues. Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa wizara hiyo jijini Dar e s Salaam Novemba 10.2015. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew...
9 years ago
Habarileo25 Sep
Umoja wa mataifa kuandika historia nyingine
VIONGOZI wakuu wa nchi na serikali zaidi ya 150 kutoka mataifa mbalimbali duniani (leo) Septemba 25,watapitisha ajenda na malengo mapya ya maendeleo endelevu (Ajenda 2030) kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) yanayomaliza muda wake mwishoni mwa mwaka huu.
9 years ago
MichuziUTASHI WA KISIASA WAHITAJIKA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs) YA 2016-2030