UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE
![](http://2.bp.blogspot.com/-XslRXUoLjDw/VgURtJb5MiI/AAAAAAAD9eM/eNe9VS1mADY/s72-c/Icons-FINAL.png)
Haya ndiyo Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (Ajenda 2030) ambayo leo Ijumaa Wakuu wa Nchi na Serikali wanayapitisha katika Mkutano wao wa Kihistoria Unaofanyika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa New York Marekani. Anjenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani inachukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs) ambayo yamefikia ukiongoni mwaka huu. Upitishaji wa Ajenda 2030 utatanguliwa na hotuba ya Baba Mtakatifu Francis
.Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Umoja wa Mataifa kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
9 years ago
Habarileo25 Sep
Umoja wa mataifa kuandika historia nyingine
VIONGOZI wakuu wa nchi na serikali zaidi ya 150 kutoka mataifa mbalimbali duniani (leo) Septemba 25,watapitisha ajenda na malengo mapya ya maendeleo endelevu (Ajenda 2030) kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) yanayomaliza muda wake mwishoni mwa mwaka huu.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s72-c/unnamed.png)
UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE: Anjenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s640/unnamed.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hPIPvvePRgM/VgTo0YE2d0I/AAAAAAAH7Fo/ZXsiBlAtUaE/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
UN kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Umoja wa Mataifa kukutana Yemen Leo
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gTAp1nIFq6Y/VgV9t9wlgJI/AAAAAAAH7K4/iIU6r-aYJ5Y/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
JK KATIKA MKUTANO WA 70 WA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK, MAREKANI, LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gTAp1nIFq6Y/VgV9t9wlgJI/AAAAAAAH7K4/iIU6r-aYJ5Y/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wEkBBFFTuSc/VgV9wYHJEzI/AAAAAAAH7LA/L1N1q0VpRM8/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LKx4sV12s5M/VgV9wbCsKcI/AAAAAAAH7LE/ylUPuJMvjJs/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RI-J-BKeomU/VgV9wkg2BLI/AAAAAAAH7LI/aYe020bhwEc/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini akutana na Rais wa Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyefika Ikulu ya Zanzibar leo kwa ajili ya mazungumzo.
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania atembelea banda la Modewjiblog maonyesho ya Sabasaba leo
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho...
10 years ago
VijimamboWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU WIKI YA USALAMA BARABARANI YA UMOJA WA MATAIFA DAR ES SALAAM LEO