Umoja wa Mataifa kukutana Yemen Leo
Umoja wa mataifa unatarajia kukutata nchini Yemen leo kwa mazungumzo ya Amani. Kuna wasiwasi huenda yakasitishwa kama kikundi cha waasi kijulikanacho kwa jina la Houth kitachelewa kuwasili katika mkutano huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Umoja wa mataifa kuchukua hatua Yemen
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XslRXUoLjDw/VgURtJb5MiI/AAAAAAAD9eM/eNe9VS1mADY/s72-c/Icons-FINAL.png)
UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE
![](http://2.bp.blogspot.com/-XslRXUoLjDw/VgURtJb5MiI/AAAAAAAD9eM/eNe9VS1mADY/s640/Icons-FINAL.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gTAp1nIFq6Y/VgV9t9wlgJI/AAAAAAAH7K4/iIU6r-aYJ5Y/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
JK KATIKA MKUTANO WA 70 WA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK, MAREKANI, LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gTAp1nIFq6Y/VgV9t9wlgJI/AAAAAAAH7K4/iIU6r-aYJ5Y/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wEkBBFFTuSc/VgV9wYHJEzI/AAAAAAAH7LA/L1N1q0VpRM8/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LKx4sV12s5M/VgV9wbCsKcI/AAAAAAAH7LE/ylUPuJMvjJs/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RI-J-BKeomU/VgV9wkg2BLI/AAAAAAAH7LI/aYe020bhwEc/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini akutana na Rais wa Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyefika Ikulu ya Zanzibar leo kwa ajili ya mazungumzo.
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania atembelea banda la Modewjiblog maonyesho ya Sabasaba leo
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho...
10 years ago
GPLWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU WIKI YA USALAMA BARABARANI YA UMOJA WA MATAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
VijimamboWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU WIKI YA USALAMA BARABARANI YA UMOJA WA MATAIFA DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Umoja wa Mataifa kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m1FOcFhNCiM/VSUosioMXRI/AAAAAAAHPm8/1RBucm5-i9U/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
MWAKILISHI MKAZI WA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA NCHINI, AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-m1FOcFhNCiM/VSUosioMXRI/AAAAAAAHPm8/1RBucm5-i9U/s1600/unnamed%2B(56).jpg)