Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini akutana na Rais wa Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyefika Ikulu ya Zanzibar leo kwa ajili ya mazungumzo.
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Mratibu mkazi wa Umoja wa Mataifa akutana na RC Arusha
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akimpongeza Mkuu wa Mkoa wa Arusha aliyeteuliwa hivi karibuni, Daud Felix Ntibenda alipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia miradi mbalimbali inayofadhiliwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa mkoani humo.
Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania Hoyce Temu (kushoto) akisaini kitabu cha wageni wakati Mkuu wa Mkoa na Mratibu Mkazi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m1FOcFhNCiM/VSUosioMXRI/AAAAAAAHPm8/1RBucm5-i9U/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
MWAKILISHI MKAZI WA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA NCHINI, AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-m1FOcFhNCiM/VSUosioMXRI/AAAAAAAHPm8/1RBucm5-i9U/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania atembelea banda la Modewjiblog maonyesho ya Sabasaba leo
Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, akisalimiana na Mwandishi mwandamizi wa mtandao wa habari wa Modewjiblog, Andrew Chale alipotembelea katika banda la mtandao huo ambao mwaka huu mwezi Septemba unatimiza miaka 7 tangu kuanzishwa ambapo wametumia fursa ya maonyesho ya saba saba kukutana na wadau mbalimbali wanaotumia mtandao huo kupata habari mbalimbali sambamba na kubadilishana mawazo na ushauri wa maboresho...
10 years ago
VijimamboMWAKILISHI MKAZI WA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA NCHINI, AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi08 Dec
MRADI WA VIJANA WAMFURAHISHA MRATIBU WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI
![IMG_6250](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_6250.jpg)
9 years ago
MichuziJUMUIYA YA ULAYA (EU) YATOA EURO 200,000 KWA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA NCHINI TANZANIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO5FQDQPsnv-vs-VLmuKQAnDq-fogaYOTTYCMgFeP9YQBkvcSfR0i6RdFYeNtXJha8Gd-fXc3fMxlFKX1rMNYZ9x/JK2.jpg)
RAIS KIKWETE AAGANA NA MWAKILISHI MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA IKULU JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXtPR0WKP7lunmFFCyt785z3ny7uxR5Ra89OHIuh5uvYrqGpZVKcZ4AdCNTuEY8OywYNI51JMuE0f4tXewwRNLqE/1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA