UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE: Anjenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s72-c/unnamed.png)
Haya ndiyo Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (Ajenda 2030) ambayo leo Ijumaa Wakuu wa Nchi na Serikali wanayapitisha katika Mkutano wao wa Kihistoria Unaofanyika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa New York Marekani. Ajenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani inachukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs) ambayo yamefikia ukiongoni mwaka huu. Upitishaji wa Ajenda 2030 utatanguliwa na hotuba ya Baba Mtakatifu Francis
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Umoja wa Mataifa kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
UN kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XslRXUoLjDw/VgURtJb5MiI/AAAAAAAD9eM/eNe9VS1mADY/s72-c/Icons-FINAL.png)
UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE
![](http://2.bp.blogspot.com/-XslRXUoLjDw/VgURtJb5MiI/AAAAAAAD9eM/eNe9VS1mADY/s640/Icons-FINAL.png)
9 years ago
Habarileo25 Sep
Umoja wa mataifa kuandika historia nyingine
VIONGOZI wakuu wa nchi na serikali zaidi ya 150 kutoka mataifa mbalimbali duniani (leo) Septemba 25,watapitisha ajenda na malengo mapya ya maendeleo endelevu (Ajenda 2030) kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) yanayomaliza muda wake mwishoni mwa mwaka huu.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CJGNaD1-rNg/Uxaqn9L6ZDI/AAAAAAAFRJU/X3yevlEsxZ8/s72-c/unnamed+(10).jpg)
TAKWIMU RASMI NA ENDELEVU NGUZO MUHIMU KATIKA UTEKELEZAJI WA SERA ZA MAENDELEO -UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
MichuziUTASHI WA KISIASA WAHITAJIKA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs) YA 2016-2030
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Umoja wa mataifa kuchukua hatua Yemen
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oJJvHj8esH0/Vefkz60GVEI/AAAAAAAB7ho/Vze8fqIUQIw/s72-c/B%2B1.jpg)
MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oJJvHj8esH0/Vefkz60GVEI/AAAAAAAB7ho/Vze8fqIUQIw/s640/B%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C0duY4JJhHY/Vefk2dvIzrI/AAAAAAAB7h0/su2ItL2aNQ0/s640/B%2B2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Tanzania kuongoza utekelezaji wa malengo mapya ya maendeleo duniani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa 70 wa Umoja wa Maiataifa akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula.
-Imeteuliwa mongoni mwa nchi nane tu duniani kufanya kazi hiyo
-Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania iko tayari kuifanya kazi hiyo
Tanzania ni...