Tanzania kuongoza utekelezaji wa malengo mapya ya maendeleo duniani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa 70 wa Umoja wa Maiataifa akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula.
-Imeteuliwa mongoni mwa nchi nane tu duniani kufanya kazi hiyo
-Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania iko tayari kuifanya kazi hiyo
Tanzania ni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO
9 years ago
MichuziMABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
9 years ago
MichuziAFRIKA KUZINGATIA VIPAUMBELE VYAKE WAKATI WA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
UN kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
11 years ago
Mwananchi12 Jul
Tanzania yajivunia utekelezaji malengo ya milenia
9 years ago
MichuziUMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE: Anjenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
9 years ago
StarTV30 Sep
Tanzania na UN wazindua rasmi malengo 17 ya maendeleo
Umoja wa Mataifa kwa Ushirikiano na Serikali ya Tanzania umezindua malengo ya Maendeleo Endelevu 17 (SDGs) jijini Dar es Salaam ikiwa ni ishara ya utekelezaji baada ya kuzinduliwa Rasmi na wakuu wa nchi mbalimbali Septemba 25, mwaka huu.
Uzinduzi huo umekuja baada ya kumalizika kwa Mpango wa Maendeleo ya Millennia uliodumu kwa miaka 15 uliokuwa na malengo 10 yakiwemo ya kumaliza umasikini, njaa na tabianchi.
Mkutano ulioamua na kupitisha malengo mapya endelevu kwa ulimwengu mzima,...
10 years ago
MichuziMPANGO WA AWAMU YA PILI WA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO YA SEKTA YA MAJI WAZINDULIWA TANZANIA
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba, akisoma hotuba katika uzinduzi rasmi wa Mpango wa Awamu ya Pili ya Utekelezaji wa Maendeleo ya Sekta ya Maji, akiwa na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Philippe Dongier.Waziri wa Maji, Prof....