Tanzania na UN wazindua rasmi malengo 17 ya maendeleo
Umoja wa Mataifa kwa Ushirikiano na Serikali ya Tanzania umezindua malengo ya Maendeleo Endelevu 17 (SDGs) jijini Dar es Salaam ikiwa ni ishara ya utekelezaji baada ya kuzinduliwa Rasmi na wakuu wa nchi mbalimbali Septemba 25, mwaka huu.
Uzinduzi huo umekuja baada ya kumalizika kwa Mpango wa Maendeleo ya Millennia uliodumu kwa miaka 15 uliokuwa na malengo 10 yakiwemo ya kumaliza umasikini, njaa na tabianchi.
Mkutano ulioamua na kupitisha malengo mapya endelevu kwa ulimwengu mzima,...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Tanzania kuongoza utekelezaji wa malengo mapya ya maendeleo duniani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wa Tanzania kwenye mkutano wa 70 wa Umoja wa Maiataifa akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na ushurikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Waziri wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe Sophia Simba, Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Yussuf Mzee na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula.
-Imeteuliwa mongoni mwa nchi nane tu duniani kufanya kazi hiyo
-Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania iko tayari kuifanya kazi hiyo
Tanzania ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHywy68DqSrnh6WUvu7D3Pa*jDhYKAK9mEYgNgl6fMaehv*iO4gyYzrxOWSx8-for08uE7F-dYaRNZHo6vXYzXs/IMG_8748.jpg)
BONGO5 WAZINDUA RASMI TUZO ZA WATU TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog03 May
Proin Promotions na Ubalozi wa Tanzania nchini Ubelgiji wazindua rasmi ununuzi wa filamu za Kitanzania Online
10 years ago
VijimamboUBALOZI WA TANZANIA NCHINI UBELGIJI UKISHIRIKIANA NA PROIN PROMOTIONS WAZINDUA RASMI MANUNUZI YA FILAMU ZA KITANZANIA ONLINE
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Tanzania yakataa rasmi ndoa za jinsia moja kwenye agenda za maendeleo ya milenia
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/0011.jpg)
TANZANIA YAKATAA RASMI NDOA ZA JINSIA MOJA KWENYE AGENDA ZA MAENDELEO YA MILENIA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oJJvHj8esH0/Vefkz60GVEI/AAAAAAAB7ho/Vze8fqIUQIw/s72-c/B%2B1.jpg)
MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oJJvHj8esH0/Vefkz60GVEI/AAAAAAAB7ho/Vze8fqIUQIw/s640/B%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C0duY4JJhHY/Vefk2dvIzrI/AAAAAAAB7h0/su2ItL2aNQ0/s640/B%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7N9ELH5rsMI/Vefi1FIP0OI/AAAAAAAH1_k/Q_GaX0RAn-E/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
9 years ago
MichuziAFRIKA KUZINGATIA VIPAUMBELE VYAKE WAKATI WA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO