BONGO5 WAZINDUA RASMI TUZO ZA WATU TANZANIA
![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHywy68DqSrnh6WUvu7D3Pa*jDhYKAK9mEYgNgl6fMaehv*iO4gyYzrxOWSx8-for08uE7F-dYaRNZHo6vXYzXs/IMG_8748.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Bongo5, Nancy Sumari (katikati), Mhariri wa Bong Mhariri wa Bongo5, Fredrick Bundala(kulia) wakizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi huo. Akiongea na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mtendaji wa Bongo5 Media Group, Nancy Sumari, amesema tuzo za watu Tanzania ni za kwanza za aina yake na zina lengo la kuwatambua watu… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eA6UjtUtj-8/U3uA2A5jT3I/AAAAAAAFj4A/MIX-InTf9xo/s72-c/unnamed+(14).jpg)
BONGO5 MEDIA GROUP YATANGAZA MAJINA YATAKAYOWANIA TUZO ZA WATU TANZANIA, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-eA6UjtUtj-8/U3uA2A5jT3I/AAAAAAAFj4A/MIX-InTf9xo/s1600/unnamed+(14).jpg)
Awamu ya kwanza ya upigaji kura iliyodumu kwa wiki mbili na siku kadhaa imekua ikikusanya majina matano kwenye kila kipengele kama ifuatavyo:...
9 years ago
StarTV30 Sep
Tanzania na UN wazindua rasmi malengo 17 ya maendeleo
Umoja wa Mataifa kwa Ushirikiano na Serikali ya Tanzania umezindua malengo ya Maendeleo Endelevu 17 (SDGs) jijini Dar es Salaam ikiwa ni ishara ya utekelezaji baada ya kuzinduliwa Rasmi na wakuu wa nchi mbalimbali Septemba 25, mwaka huu.
Uzinduzi huo umekuja baada ya kumalizika kwa Mpango wa Maendeleo ya Millennia uliodumu kwa miaka 15 uliokuwa na malengo 10 yakiwemo ya kumaliza umasikini, njaa na tabianchi.
Mkutano ulioamua na kupitisha malengo mapya endelevu kwa ulimwengu mzima,...
10 years ago
Dewji Blog03 May
Proin Promotions na Ubalozi wa Tanzania nchini Ubelgiji wazindua rasmi ununuzi wa filamu za Kitanzania Online
10 years ago
VijimamboUBALOZI WA TANZANIA NCHINI UBELGIJI UKISHIRIKIANA NA PROIN PROMOTIONS WAZINDUA RASMI MANUNUZI YA FILAMU ZA KITANZANIA ONLINE
10 years ago
VijimamboTUZO ZA FILAMU TANZANIA ZAZINDULIWA RASMI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o_Idj3WB4sI/VRRKd0JLjFI/AAAAAAAHNgo/UQLXYibPrmY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
11 years ago
GPL14 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKhE1lYAb3TOlDXX8CSu8yPVrlywmLqsJHclqevIKkfnD4hRAU9RbsVxzbWn5iPSRSx8mqHQ-uKec1ZagcrSdh3a/DSCF0652.jpg?width=650)
MCHAKATO WA TUZO ZA WANAWAKE WENYE MAFANIKIO TANZANIA WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s72-c/unnamed.jpg)
ULIISIKIA HII YA MANJI KUSHINDA SHANI AU TUZO KUBWA ZAIDI, TUZO AMBAYO HUWANIWA NA WATU KAMA DANGOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s640/unnamed.jpg)
Mwenyekiti wa makampuni ya Quality group, Yusuf Manji ameibuka mshindi wa tuzo maarufu ya Mfanyabiashara Gwiji Duniani.
Manji ambaye ni mwenyekiti wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga ameibuka mshindi wa tuzo hiyo na kuwashinda mabosi wengine kama bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote.Kwa mujibu wa mtandao wa Business Forum, Mwenyekiti huyo wa amekuwa kiongozi wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo hiyo ambayo awali walikuwa wakichukua matajiri wengine wakubwa na maarufu kutoka katika...