TUZO ZA FILAMU TANZANIA ZAZINDULIWA RASMI
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel, akiongea neno wakati wa uzinduzi wa Tuzo za filamu Tanzania chini ya Shirikisho la Filamu Tanzania.
Raisi wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba akielezea jambo katika hafla za uzinduzi wa Tuzo za Filamu Tnzania zilizofanyia mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Lulu akipozi kwa picha katika uzinduzi huo.
Kelvin akiwa katika zulia jekundu la uzinduzi huo.
Naibu katibu mkuu wa Wizara ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Tuzo za Kili zazinduliwa rasmi
11 years ago
MichuziFILAMU ZA SWAHILIWOOD ZAZINDULIWA RASMI KATIKA UKUMBI WA CENTRUY CINEMAX, OYSTERBAY, JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziKamati ya Maandalizi ya Tuzo za Filamu Tanzania yashauriwa kutangaza Tasnia ya Filamu kimataifa
10 years ago
VijimamboKAMATI YA MAANDALIZI YA TUZO ZA FILAMU TANZANIA YASAHURIWA KUTANGAZA TASNIA YA FILAMU KIMATAIFA
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Filamu zitakazochuana Tuzo ya Filamu Tanzania zatajwa
WAANDAAJI wa shindano la Tuzo za Filamu Tanzania lililopewa jina la Action & Cut Viewers Choice Award 2013 wamezitaja filamu zitakazopigiwa kura na watazamaji kupitia kipindi cha Action & Cut...
10 years ago
Dewji Blog24 May
Tuzo za Filamu Tanzania 2015 zafana Dar wasanii kibao wazoa tuzo
![Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenela Mukangala pamoja na viongozi mbalimbali wa meza kuu kwenye hafla ya Tuzo za Filamu 2015 wakipiga picha na baadhi ya washindi wa Tuzo za Filamu 2015 jana zilizofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_02641.jpg)
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Filamu na tamthilia za Kichina zazinduliwa Dar
NA MWALI IBRAHIM
KAMPUNI ya Star Times Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka ya vyombo vya habari, uchapishaji, redio, filamu na runinga ya Beijing wamezindua maonyesho ya filamu na tamthilia za kusisimua za Kichina barani Afrika.
Kaimu mkurugenzi wa mamlaka hiyo, Yang Peili, akizindua maonyesho hayo jana katika ofisi za kampuni ya Star Times jijini Dar es Salaam, alisema Tanzania itabaki kuwa mshirika wake mkubwa na wataendelea kuimarisha uhusiano baina ya nchi hizi mbili.
“Kwa makadirio,...