MCHAKATO WA TUZO ZA WANAWAKE WENYE MAFANIKIO TANZANIA WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKhE1lYAb3TOlDXX8CSu8yPVrlywmLqsJHclqevIKkfnD4hRAU9RbsVxzbWn5iPSRSx8mqHQ-uKec1ZagcrSdh3a/DSCF0652.jpg?width=650)
Rais wa Taasisi ya kijamii ya Wanawake wenye Mafanikio Tanzania (Tanzania Women of Achievement ),Bi. Irene Kiwia (kulia) akisisitiza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani) juu ya utoaji wa Tuzo za Wanawake wenye Mafanikio Tanzania ambazo zitafanyika Machi 7,2015 kwa mara ya nne tangu kuanzishwa kwake, ikiwa na lengo la kuwatambua na kuwapongeza wanawake ambao wamechangia maendeleo ya nchi katika nyanja tofauti.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z-O5zQLcswY/UwINAKQ5s0I/AAAAAAAFNoA/Qt6HW9Xcjrs/s72-c/kili_awards2.jpg)
MSIMU WA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-z-O5zQLcswY/UwINAKQ5s0I/AAAAAAAFNoA/Qt6HW9Xcjrs/s1600/kili_awards2.jpg)
Mkutano na wana habari za michezo na burudani kutoka vyombo mbali mbali ndio umezindua msimu huu katika hoteli ya Kebby’s ilioko maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam. Viongozi wa BASATA pamoja na wa bia ya Kilimanjaro walizungumzia mabadiliko chanya katika mchakato wa mwaka huu ikiwa ni juhudi na hatua za...
11 years ago
Michuzi21 Mar
mchakato wa kumpata “Redds Miss Tanzania 2014 wazinduliwa rasmi
![](https://2.bp.blogspot.com/-EpQ-WxGcoxA/Uyrgt9W4a3I/AAAAAAACsWY/n_wmUbLuAso/s1600/1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog15 May
Proin Promotions yatangaza rasmi kudhamini Ligi ya mpira wa Miguu kwa Wanawake leo Jijini Dar
Katibu wa Michezo kutoka Kampuni ya Proin, Godlisten Anderson akitambulisha viongozi wa kampuni ya Proin Promotions kwa waandishi wa habari wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari uliofanyika leo katika Hoteli ya Southern Sun. Kampuni ya Proin imetangaza kudhamini ligi ya mpira wa miguu kwa Wanawake inayotarajiwa kuanza Mwezi wa Nane.
Rais TFF, Mh Jamal Malinzi na Mwenyekiti wa makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza wakitia saini katika mkataba wa makubaliano ya udhamini wa ligi ya mpira...
11 years ago
MichuziPROIN PROMOTIONS YATANGAZA RASMI KUDHAMINI LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE LEO JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9y-U8eb2ju4/Uyqs_qPhr3I/AAAAAAAFVFM/HA6Yd13HqRw/s72-c/IMG_0414.jpg)
MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA YAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-9y-U8eb2ju4/Uyqs_qPhr3I/AAAAAAAFVFM/HA6Yd13HqRw/s1600/IMG_0414.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_qV7YX-_76I/UyqtBKiMBQI/AAAAAAAFVFU/7M54lHj6DH8/s1600/IMG_0443.jpg)
9 years ago
MichuziUMOJA WA WANAFUNZI WALIOSOMA ST.JOSEPH WAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Wakizungumza nyakati tofauti wanafunzi waliosoma hapo wamewataka wanafunzi kufuata nyayo zao kutokana na shule hiyo kuwa na historia nzuri ambayo hadi sasa haijaweza kufutika.
Wamesema kuwa umoja huo utakuwa imara katika kusaidia shule hiyo katika masuala mbalimbali ikiwemo na kusaidia jamii kutokana na...
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA KWANZA LA WANAWAKE WAFANYABIASHARA SOKONI TANZANIA LAFANYIKA JIJINI DAR LEO.
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti Tanzania (Repoa), Samwel Wangwe amewataka watanzania kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo hususani wanawake kwani wananafasi kubwa ya kuchangia pato la Taifa.
Akizunguza Dar es Salaam leo wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania, Wangwe alisema ni muhimu kuhakikisha wafanyabiashara hao wanawezeshwa na kuwajali katika uzalishaji na uendeshaji wa biashara zao.
Alisema kwa mujibu wa...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-9y-U8eb2ju4/Uyqs_qPhr3I/AAAAAAAFVFM/HA6Yd13HqRw/s1600/IMG_0414.jpg)
MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA YAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
11 years ago
GPLSHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS LAANZA RASMI LEO JIJINI DAR, WASHINDI WATANO KUTAFUTWA