UMOJA WA WANAFUNZI WALIOSOMA ST.JOSEPH WAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
WANAFUNZI waliosoma Shule ya Forodhani na Sasa St.Joseph Cathedral wameanzisha umoja wa shule hiyo kwa ajili ya kusaidia elimu pamoja na masuala ya kijamii.Wakizungumza nyakati tofauti wanafunzi waliosoma hapo wamewataka wanafunzi kufuata nyayo zao kutokana na shule hiyo kuwa na historia nzuri ambayo hadi sasa haijaweza kufutika.
Wamesema kuwa umoja huo utakuwa imara katika kusaidia shule hiyo katika masuala mbalimbali ikiwemo na kusaidia jamii kutokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 Aug
WANAFUNZI WALIOSOMA ST JOSEPH CATHEDRAL HIGH SCHOOL WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM, KUZINDUA CHAMA SEPTEMBA 26/2015 KARIMJEE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/166.jpg)
10 years ago
MichuziUMOJA WA WATANZANIA WALIOSOMA NCHINI AUSTRALIA WAZINDULIWA RASMI
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WA UMOJA WA JAMHURI YA KOREA, UMOJA WA ULAYA NA PALESTINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nUG5sEgOjQ8/VgIZxGSTfhI/AAAAAAAH608/LpKw9GjlQWw/s72-c/st.Joseph.jpg)
St. Joseph & Forodhani ALUMNI kufanyika Jumamosi hii Septemba 26, 2015 viwanja vya St Joseph Cathedral High School jijini Dar es salaam
Umoja wa wanafunzi waliosoma shule ya St Joseph convent school ya jijini Dar es salaam
iliyodumu kuanzia mwaka 1932 hadi 1969 . Na Forodhani Sekondari ilyokuwapo kati ya 1970 hadi 2008 ( ilipotaifishwa na serikali) na baada ya hapo St Joseph Cathedral High school 2009 (baada ya kurudishwa kwa kanisa Katoliki) hadi leo, tumeungana na kuitwa St. Joseph & Forodhani ALUMNI .
St Joseph &Forodhani ALUMNI imeandaa “reunion” mkutano wa pamoja siku ya Jumamosi tarehe 26 September kwa wanafunzi...
![](http://4.bp.blogspot.com/-nUG5sEgOjQ8/VgIZxGSTfhI/AAAAAAAH608/LpKw9GjlQWw/s320/st.Joseph.jpg)
St Joseph &Forodhani ALUMNI imeandaa “reunion” mkutano wa pamoja siku ya Jumamosi tarehe 26 September kwa wanafunzi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-c7ytde_gMlU/VmAR7TYfJNI/AAAAAAAIJ-M/IyDSNhceu_E/s72-c/jpm1.jpg)
RAIS MAGUFULI AHUTUBIA VIONGOZI NA WAWAKILISHI WA UMOJA WA SEKTA BINAFSI NCHINI - TPSF IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-c7ytde_gMlU/VmAR7TYfJNI/AAAAAAAIJ-M/IyDSNhceu_E/s640/jpm1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4OQ-VZa56ts/VmAR7SNBtLI/AAAAAAAIJ-Q/e-liCp1dKFk/s640/jpm2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BDmokFMUvLk/VmAR7Bu9phI/AAAAAAAIJ-I/siElIoLMsUc/s640/jpm4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s72-c/j11.jpg)
JK AMPONGEZA RAIS MTEUL JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s640/j11.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii Oktoba 29, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qou44moVYi4/VjI3dOuNzTI/AAAAAAAIDXo/m0sZzU3th6M/s640/j7.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKhE1lYAb3TOlDXX8CSu8yPVrlywmLqsJHclqevIKkfnD4hRAU9RbsVxzbWn5iPSRSx8mqHQ-uKec1ZagcrSdh3a/DSCF0652.jpg?width=650)
MCHAKATO WA TUZO ZA WANAWAKE WENYE MAFANIKIO TANZANIA WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
Rais wa Taasisi ya kijamii ya Wanawake wenye Mafanikio Tanzania (Tanzania Women of Achievement ),Bi. Irene Kiwia (kulia) akisisitiza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani) juu ya utoaji wa Tuzo za Wanawake wenye Mafanikio Tanzania ambazo zitafanyika Machi 7,2015 kwa mara ya nne tangu kuanzishwa kwake, ikiwa na lengo la kuwatambua na kuwapongeza wanawake ambao wamechangia maendeleo ya nchi katika nyanja tofauti.… ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z-O5zQLcswY/UwINAKQ5s0I/AAAAAAAFNoA/Qt6HW9Xcjrs/s72-c/kili_awards2.jpg)
MSIMU WA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-z-O5zQLcswY/UwINAKQ5s0I/AAAAAAAFNoA/Qt6HW9Xcjrs/s1600/kili_awards2.jpg)
Mkutano na wana habari za michezo na burudani kutoka vyombo mbali mbali ndio umezindua msimu huu katika hoteli ya Kebby’s ilioko maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam. Viongozi wa BASATA pamoja na wa bia ya Kilimanjaro walizungumzia mabadiliko chanya katika mchakato wa mwaka huu ikiwa ni juhudi na hatua za...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yKYlneVvKX8/ViFndv1KMnI/AAAAAAAIAfI/6ULxz9VEyRU/s72-c/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
Wanafunzi wa shule ya Sekondari Azania ya jijini Dar-es-Salaam wajifunza mbinu za kuzima moto
![](http://1.bp.blogspot.com/-yKYlneVvKX8/ViFndv1KMnI/AAAAAAAIAfI/6ULxz9VEyRU/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UrrqnVlKl8A/ViFndvqIN_I/AAAAAAAIAfA/986W8ycdQ7g/s640/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gOkx_yVp2e4/ViFndjviO4I/AAAAAAAIAfE/s2LVsNRNS6Y/s640/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania