ULIISIKIA HII YA MANJI KUSHINDA SHANI AU TUZO KUBWA ZAIDI, TUZO AMBAYO HUWANIWA NA WATU KAMA DANGOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s72-c/unnamed.jpg)
Mwenyekiti wa makampuni ya Quality group, Yusuf Manji ameibuka mshindi wa tuzo maarufu ya Mfanyabiashara Gwiji Duniani.
Manji ambaye ni mwenyekiti wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga ameibuka mshindi wa tuzo hiyo na kuwashinda mabosi wengine kama bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote.Kwa mujibu wa mtandao wa Business Forum, Mwenyekiti huyo wa amekuwa kiongozi wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo hiyo ambayo awali walikuwa wakichukua matajiri wengine wakubwa na maarufu kutoka katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Nov
ALikiba: Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo
![king kiba3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/king-kiba3-300x194.jpg)
Alikiba ameweka wazi jinsi anavyozichukulia tuzo kwenye kazi yake ya muziki, na kama zinamuongezea thamani yoyote yeye kama msanii.
Mwimbaji huyo wa ‘Mwana’ ambaye amekuwa haendi kwenye tuzo nyingi zikiwemo hata zile ambazo anaibuka kuwa mshindi, ametaja sababu za kwanini huwa haudhurii.
“Nimegundua kwamba mimi ni mwanamuziki ambaye si focus sana kwenye tuzo japokuwa ndio moja ya sifa” Alikiba ameiambia AYO TV. “lakini kiukweli muziki wangu una thamani kubwa na mimi ni mkubwa zaidi ya...
11 years ago
Michuzi10 Mar
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1xT6tElGWjo/VgTQtSgry2I/AAAAAAAH7C4/Wgo4lzENCRg/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
MO AMPIKU DANGOTE TUZO YA MFANYABISHARA BORA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xT6tElGWjo/VgTQtSgry2I/AAAAAAAH7C4/Wgo4lzENCRg/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MANJI1.jpg)
MANJI ANYAKUA TUZO ZA VIONGOZI WA BIASHARA AFRIKA
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Waafrika waliowahi kushinda tuzo ya Nobel
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Manji ashinda tuzo nyingine ya mjasiriamali kijana Afrika
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X8KhJBDmeFo/Vfx6tZIW6LI/AAAAAAAH590/XtHlSu0lxrI/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
YUSUPH MANJI AIBUKA KIDEDEA TUZO ZA VIONGOZI WA BIASHARA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X8KhJBDmeFo/Vfx6tZIW6LI/AAAAAAAH590/XtHlSu0lxrI/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
MWENYEKITI wa Makampuni ya Quality Group Limited, Yusuph Manji (PICHANI) amenyakua tuzo ya kielelezo cha viongozi wa biashara wa Afrika kwa mwaka 2015.
Manji ambaye ni Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, aliwapiku wafanyabiashara wengine wakubwa akiwemo bilionea namba moja Afrika, Aliko Dangote. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na uongozi Quality Group, ilisema tuzo hiyo ilimshtua 'bosi' wao kwani hakutarajia na kwamba itasaidia kuvutia wawekezaji pamoja na kuongeza idadi ya...
10 years ago
Bongo501 Dec
Mambo mawili ambayo Cassper Nyovest na Diamond walifanana siku ya tuzo za Channel O