YUSUPH MANJI AIBUKA KIDEDEA TUZO ZA VIONGOZI WA BIASHARA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X8KhJBDmeFo/Vfx6tZIW6LI/AAAAAAAH590/XtHlSu0lxrI/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
MWENYEKITI wa Makampuni ya Quality Group Limited, Yusuph Manji (PICHANI) amenyakua tuzo ya kielelezo cha viongozi wa biashara wa Afrika kwa mwaka 2015.
Manji ambaye ni Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, aliwapiku wafanyabiashara wengine wakubwa akiwemo bilionea namba moja Afrika, Aliko Dangote. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na uongozi Quality Group, ilisema tuzo hiyo ilimshtua 'bosi' wao kwani hakutarajia na kwamba itasaidia kuvutia wawekezaji pamoja na kuongeza idadi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MANJI1.jpg)
MANJI ANYAKUA TUZO ZA VIONGOZI WA BIASHARA AFRIKA
10 years ago
Habarileo01 Jul
Mwandishi wa HabariLeo aibuka kidedea tuzo za Tanapa
MWANDISHI wa gazeti la HabariLeo mkoani Iringa, Frank Leonard ameshinda tuzo ya umahiri wa uandishi wa habari baada ya kuibuka mshindi wa kwanza (magazeti) katika kuandika habari za utalii wa ndani,tuzo ambayo ilitolewa na Hifadhi za Taifa (TANAPA).
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bCEqpo_viQ8/Vcg8LNJ-c4I/AAAAAAAAHO4/SincSwWdvuo/s72-c/11822353_922900184422792_8034616550061091264_n.jpg)
BONDIA LULU KAYAGE AIBUKA KIDEDEA AFRIKA YA KUSINI
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Manji ashinda tuzo nyingine ya mjasiriamali kijana Afrika
5 years ago
Bongo514 Feb
Mashabiki Msikate Tamaa – Yusuph Manji
Mwenyekiti wa klabu ya Dar Young Africans, Yanga, Bw.Yusuph Manji, amewataka mashabiki wa timu hiyo kutosononeka sana kwa kipigo cha mabao 4-0 yaliyosababisha kutolewa kwenye michuano ya kimataifa Na MC Algeria.
Bw. Manji akiongea na mtandao wa Goal, amesema, anachotaka ni kuhakikisha timu hiyo inapambana kutafuta nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani kwa kubeba taji la ligi kuu ya Vodacom au ubingwa wa kombe la FA.
“Niliongea na timu yetu kabla ya kwenda Algeria na...
10 years ago
VijimamboMEYA WA KINONDONI, YUSUPH MWENDA ATWAA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha)
Kwenye watu wazito walioamua kuingia kwenye siasa, mfanyabiashara Yusuph Manji pamoja na Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ambaye ni Diwani wa kata ya Kilungule nao waliamua kuthubutu upande huu wa pili wa siasa. Leo December 31 2015 Diwani Manji alikutana na watu wake wa Mbagala kwa ajili ya kuwashukuru kabla haujaisha mwaka 2015 […]
The post Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Manji aibuka Yanga
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, ameibuka na kudai kuwa kutokuwepo kwake nchini ndiyo sababu ya kutokea kwa maneno ya hapa na pale, huku akiwafuta uanachama wanachama sita na tawi moja....