Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YUSUPH MANJI AIBUKA KIDEDEA TUZO ZA VIONGOZI WA BIASHARA AFRIKA


MWENYEKITI  wa Makampuni ya Quality Group Limited, Yusuph Manji (PICHANI) amenyakua tuzo ya kielelezo cha viongozi wa biashara wa Afrika kwa mwaka 2015.
Manji ambaye ni Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, aliwapiku wafanyabiashara wengine wakubwa akiwemo bilionea namba moja Afrika,  Aliko Dangote. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na uongozi Quality Group, ilisema  tuzo hiyo ilimshtua 'bosi' wao kwani hakutarajia na kwamba itasaidia kuvutia wawekezaji pamoja na kuongeza idadi ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MANJI ANYAKUA TUZO ZA VIONGOZI WA BIASHARA AFRIKA

MWENYEKITI  wa Makampuni ya Quality Group Limited, Yusuph Manji (Pichani) amenyakua tuzo ya kielelezo cha viongozi wa biashara wa Afrika kwa mwaka 2015. Manji ambaye ni Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, aliwapiku wafanyabiashara wengine wakubwa akiwemo bilionea namba moja Afrika,  Aliko Dangote wa Nigeria, pamoja na wengine wengi. Watanzania wote wanajivunia tuzo hili kwani litawasaidia kupata fursa kubwa za...

 

10 years ago

Habarileo

Mwandishi wa HabariLeo aibuka kidedea tuzo za Tanapa

Frank Leonard MWANDISHI wa gazeti la HabariLeo mkoani Iringa, Frank Leonard ameshinda tuzo ya umahiri wa uandishi wa habari baada ya kuibuka mshindi wa kwanza (magazeti) katika kuandika habari za utalii wa ndani,tuzo ambayo ilitolewa na Hifadhi za Taifa (TANAPA).

 

10 years ago

Michuzi

BONDIA LULU KAYAGE AIBUKA KIDEDEA AFRIKA YA KUSINI

Na Mwandishi WetuBONDIA wa Kike Lulu Kayage mwishoni mwa wiki iliyopita alibuka kidedea nchini Afrika ya kusini baada ya kumdunda vibaya   Lizbeth Sivhaga wa nchini humu huu ni mpambano wake wa kwanza Lulu kucheza nje ya nchi na kufanikiwa kushinda kwa T.K.O ya raundi ya pili mchezo uho ulioanza kwa kasi ya mashambulizi ya uku na kule kila mmoja kutaka kumpiga mwenzie raundi za awaliata hivyo ilivyofika raundi ya pili bondia Lulu Kayage alimwelemea sana mpinzani wake kwa makonde...

 

9 years ago

Mwananchi

Manji ashinda tuzo nyingine ya mjasiriamali kijana Afrika

Mfanyabiashara maarufu nchini na Mwenyekiti wa Kampuni ya Quality Group Limited (QGL), Yusuf Manji ameshinda tuzo ya kiongozi mjasiriamali kijana wa Afrika kwa kuchangia ukuaji wa biashara barani humo.

 

5 years ago

Bongo5

Mashabiki Msikate Tamaa – Yusuph Manji

Mwenyekiti wa klabu ya Dar Young Africans, Yanga, Bw.Yusuph Manji, amewataka mashabiki wa timu hiyo kutosononeka sana kwa kipigo cha mabao 4-0 yaliyosababisha kutolewa kwenye michuano ya kimataifa Na MC Algeria.

Bw. Manji akiongea na mtandao wa Goal, amesema, anachotaka ni kuhakikisha timu hiyo inapambana kutafuta nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani kwa kubeba taji la ligi kuu ya Vodacom au ubingwa wa kombe la FA.

“Niliongea na timu yetu kabla ya kwenda Algeria na...

 

10 years ago

Vijimambo

MEYA WA KINONDONI, YUSUPH MWENDA ATWAA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Hawa Ghasia akikabidhi cheti cha Meya/ Halmashauri Bora katika Bara la Afrika Kundi la Majiji ya Kati (Medium Size Cities) kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda katika hafla iliyo zilizotolewa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa ya Afrika (UCLGA), Dar es Salaam jana.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Hawa Ghasia akikabidhi Tuzo ya Meya/ Halmashauri Bora katika Bara la...

 

9 years ago

MillardAyo

Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha)

Kwenye watu wazito walioamua kuingia kwenye siasa, mfanyabiashara Yusuph Manji pamoja na Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ambaye ni Diwani wa kata ya Kilungule nao waliamua kuthubutu upande huu wa pili wa siasa. Leo December 31 2015 Diwani Manji alikutana na watu wake wa Mbagala kwa ajili ya kuwashukuru kabla haujaisha mwaka 2015 […]

The post Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji aibuka Yanga

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, ameibuka na kudai kuwa kutokuwepo kwake nchini ndiyo sababu ya kutokea kwa maneno ya hapa na pale, huku akiwafuta uanachama wanachama sita na tawi moja....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani