Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki Msikate Tamaa – Yusuph Manji

Mwenyekiti wa klabu ya Dar Young Africans, Yanga, Bw.Yusuph Manji, amewataka mashabiki wa timu hiyo kutosononeka sana kwa kipigo cha mabao 4-0 yaliyosababisha kutolewa kwenye michuano ya kimataifa Na MC Algeria.

Bw. Manji akiongea na mtandao wa Goal, amesema, anachotaka ni kuhakikisha timu hiyo inapambana kutafuta nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani kwa kubeba taji la ligi kuu ya Vodacom au ubingwa wa kombe la FA.

“Niliongea na timu yetu kabla ya kwenda Algeria na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Pinda- Madaktari msikate tamaa

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka madaktari bingwa wa uzazi na magonjwa ya wanawake kutokata tamaa kuhudumia wajawazito.

 

10 years ago

Vijimambo

Lemutuz Afunguka 'Najua Kwamba Mabebez Wengi Mnapigwa na Mamen Wenu Kwasababu Yangu...Msikate Tamaa The Day is Coming'

Good Morning Instagram Nation happy new year my people at Office Kikazi zaidi live at the Farm "Camp Davis" le Arusha Moja.....Ok najua sana kwamba I am hated na Mamen wengi sana na.ninajua sana kwamba kuna wanaojaribu kila wakati kunitegeshea na mitego mingi ya kitoto kusudi waje waseme nilikuwa na mke wa mtu I know that I was not born jana U know......najua kwamba mabebezz wengi hapa mnapigwa na.Mamen wenu kwa sababu yangu najua kwamba Mabebez wengi hapa mnazuiwa kuwasiliana na mimi na...

 

9 years ago

Michuzi

YUSUPH MANJI AIBUKA KIDEDEA TUZO ZA VIONGOZI WA BIASHARA AFRIKA


MWENYEKITI  wa Makampuni ya Quality Group Limited, Yusuph Manji (PICHANI) amenyakua tuzo ya kielelezo cha viongozi wa biashara wa Afrika kwa mwaka 2015.
Manji ambaye ni Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, aliwapiku wafanyabiashara wengine wakubwa akiwemo bilionea namba moja Afrika,  Aliko Dangote. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na uongozi Quality Group, ilisema  tuzo hiyo ilimshtua 'bosi' wao kwani hakutarajia na kwamba itasaidia kuvutia wawekezaji pamoja na kuongeza idadi ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha)

Kwenye watu wazito walioamua kuingia kwenye siasa, mfanyabiashara Yusuph Manji pamoja na Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ambaye ni Diwani wa kata ya Kilungule nao waliamua kuthubutu upande huu wa pili wa siasa. Leo December 31 2015 Diwani Manji alikutana na watu wake wa Mbagala kwa ajili ya kuwashukuru kabla haujaisha mwaka 2015 […]

The post Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Habarileo

Kerr ataka mashabiki wasikate tamaa

KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr amewataka mashabiki wa timu hiyo kutokata tamaa na matokeo ya sare na kwamba timu yake itakaa sawa katika mechi zijazo. Simba juzi ilipata sare ya tatu baada ya ile dhidi ya Azam na dhidi ya Toto African ya Mwanza kwa kutoka sare ya bao 1-1 na Mwadui ya Shinyanga.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Yusuph Mlela: Nikikupikia biriyani…

YUSUPH  Mlela ni msanii maarufu wa  filamu nchini  aliyeweza   kujijengea jina kutokana na kumudu kazi yake kwa kuigiza sehemu  tofauti bila kujali uhusika anaouvaa.

Ni miongoni mwa wasanii wachache ambao  wameweza kutunza heshima yao  tofauti na wasanii wengine wanaotafuta umaarufu kwa kufanya mambo yanayokwenda kinyume na maadili.

Raia Tanzania imezungumza na Mlela  ili kujua mambo mbalimbali ya maisha yake  awapo nje ya sanaa kama ifuatavyo:

Raia Tanzania: Ukimzungumzia mlela...

 

10 years ago

Mtanzania

Kunani Mzee Yusuph na Khadija Kopa?

Mzee Yusuf new.jpg 2khadija kopaNA THERESIA GASPER

MANENO ya kujitamba aliyokuwa akiyatoa mwimbaji wa taarabu, Mzee Yusuph kila mara alipokwenda kupokea tuzo usiku wa juzi, yamewapa wasiwasi wadau wa muziki huo wakihoji kwanini ameonyesha kuwadharau baadhi ya waimbaji wenzake wa muziki huo.

Mwimbaji anayedaiwa kuelekezewa maneno hayo ni mkongwe wa siku nyingi, Khadija Kopa ambaye alishadai kwamba aliwahi kuonyesha njia ya kutaka kushirikiana na mwenzake huyo lakini ameonekana kumkwepa bila sababu za msingi.

Wakati Mzee...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Hii ndiyo siri yangu-Mzee Yusuph

Mwanamuziki wa miondoko ya taarabu Mzee Yusuph ametaja siri ya mafanikio yake kuwa ni pamoja na kusoma alama za nyakati huku akifuata na wanachotaka mashabiki wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani