Kerr ataka mashabiki wasikate tamaa
KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr amewataka mashabiki wa timu hiyo kutokata tamaa na matokeo ya sare na kwamba timu yake itakaa sawa katika mechi zijazo. Simba juzi ilipata sare ya tatu baada ya ile dhidi ya Azam na dhidi ya Toto African ya Mwanza kwa kutoka sare ya bao 1-1 na Mwadui ya Shinyanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog12 Jul
Rais wa wachimba Madini John Bina awapa wasanii changamoto, wasikate tamaa
Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania John Bina akizungumza na wapenzi na washabiki wa msanii wa kizazi kipya wa mkoa wa Singida Small Jobiso, kwenye Pub ya Serengeti wakati wa utambilisho wa kikundi cha Watoto wa Chui.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Wasanii wa vikundi mbalimbali wametakiwa kutokata tamaa pindi wanapoanzisha vikundi vyao kwa kukosa wadhamini wa kuwaendeleza, bali wakaze buti iko siku watatoka tu.
Changamoto hiyo imetolewa jana mjini hapa na Rais wa Shirikisho la...
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Kerr ataka uvumilivu Simba
NA MWALI IBRHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amewataka wachezaji wake kuwa wavumilivu kutokana na aina ya mazoezi watakayofanya watakapokuwa kambini visiwani Zanzibar kwa lengo la kuwaongezea kasi tofauti na ilivyokuwa katika mechi zilizopita.
Ikiwa kambini Simba inatarajia kucheza mechi mbili za kirafiki kujipima nguvu kabla ya kurejea kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC utakaopigwa Desemba 12, mwaka huu katika Uwanja wa Uwanja wa Taifa...
5 years ago
Bongo514 Feb
Mashabiki Msikate Tamaa – Yusuph Manji
Mwenyekiti wa klabu ya Dar Young Africans, Yanga, Bw.Yusuph Manji, amewataka mashabiki wa timu hiyo kutosononeka sana kwa kipigo cha mabao 4-0 yaliyosababisha kutolewa kwenye michuano ya kimataifa Na MC Algeria.
Bw. Manji akiongea na mtandao wa Goal, amesema, anachotaka ni kuhakikisha timu hiyo inapambana kutafuta nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani kwa kubeba taji la ligi kuu ya Vodacom au ubingwa wa kombe la FA.
“Niliongea na timu yetu kabla ya kwenda Algeria na...
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Kerr ataka kuvunja mwiko Mbeya City
9 years ago
Habarileo31 Aug
Zitto ataka mashabiki kuiona Stars bure
KIONGOZI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency au ACT, Zitto Kabwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuondoa viingilio ili wapenzi wa soka kuona bure mchezo ya Taifa Stars na Nigeria utakaofanyika Septemba 5.
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Diamond awashukuru mashabiki, ataka wahamie MTV
MSHINDI wa tuzo saba za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz,’ amewashukuru wadau na mashabiki wa sanaa nchini waliomwezesha kuibuka na ushindi huo uliovunja rekodi huku akiwataka...
10 years ago
TheCitizen09 Jul
10 years ago
Habarileo13 Aug
Kerr asaka mshambuliaji
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr anasaka mshambuliaji kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake. Simba ipo kwenye mchakato wa kufanya usajili kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza Septemba 22 mwaka huu.
9 years ago
Habarileo31 Aug
Kerr aanza visingizio
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr amesema kuwa, kufungwa kwa timu yake na Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), mabao 2-0 kunatokana na wachezaji sita kutokuwemo katika kikosi hicho.