Rais wa wachimba Madini John Bina awapa wasanii changamoto, wasikate tamaa
Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania John Bina akizungumza na wapenzi na washabiki wa msanii wa kizazi kipya wa mkoa wa Singida Small Jobiso, kwenye Pub ya Serengeti wakati wa utambilisho wa kikundi cha Watoto wa Chui.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Wasanii wa vikundi mbalimbali wametakiwa kutokata tamaa pindi wanapoanzisha vikundi vyao kwa kukosa wadhamini wa kuwaendeleza, bali wakaze buti iko siku watatoka tu.
Changamoto hiyo imetolewa jana mjini hapa na Rais wa Shirikisho la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Kukatishwa tamaa ni changamoto inayowarudisha nyuma wasanii
9 years ago
Habarileo28 Dec
Kerr ataka mashabiki wasikate tamaa
KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr amewataka mashabiki wa timu hiyo kutokata tamaa na matokeo ya sare na kwamba timu yake itakaa sawa katika mechi zijazo. Simba juzi ilipata sare ya tatu baada ya ile dhidi ya Azam na dhidi ya Toto African ya Mwanza kwa kutoka sare ya bao 1-1 na Mwadui ya Shinyanga.
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Wachimba madini waonywa
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Wachimba madini Manyara kunufaika
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Wachimba madini 15 haramu wauawa AK
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Serikali yatishia kufuta leseni za wachimba madini
10 years ago
Habarileo20 Oct
Bilal awapa changamoto wakutubi
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameutaka Muungano wa Wakutubi na Watoa taarifa za Afya Afrika (AHILA), kuhakikisha wanaibuka na mikakati bora inayotekelezeka itakayowezesha masuala ya afya kupatikana kirahisi kupitia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Teknohama).
10 years ago
Mwananchi08 May
Pinda awapa changamoto wafanyabiashara
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Wasanii wetu na tamaa ya ubunge
NILIWAHI kuandika makala nyingi kuhusu sanaa na wasanii wetu hapa nchini.
Egbert Mtui