Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wetu na tamaa ya ubunge

NILIWAHI kuandika makala nyingi kuhusu sanaa na wasanii wetu hapa nchini.

Egbert Mtui

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tukiwakatisha tamaa walimu nani atafundisha watoto wetu?

Umuhimu wa mwalimu katika dunia hii uko wazi kwa kila jamii iliyostaarabika.Ulimwengu mzima unatambua mwalimu ni mtu muhimu kwa maendeleo ya Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kukatishwa tamaa ni changamoto inayowarudisha nyuma wasanii

Msanii yeyote anapoingia katika tasnia ya muziki, huwa ana malengo yake na wapo ambao ndoto zao hutimia kwa muda mfupi na wengine husota kwa muda mrefu.

 

9 years ago

Bongo5

Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa

Muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay amewaka wasanii wachanga kuepuka tamaa za mafanikio ya haraka. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alijitahidi kupambana na watu ambao walikuwa wanajaribu kumlaghai ili wampoteze. “Unajua watu wanavyokuona sehemu wanaweza wakakulaghai ili uone hapafai,”amesema. “Mimi nimekutana na watu kama hao, sana lakini kwenye kichwa changu nilikuwa naamini ninachokifanya. Pia tamaa […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini ana ujumbe kwa wasanii waliokata tamaa

11348151_1124679907544180_395111175_n

Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka wasanii kutokata tamaa hata wakiwa wametoa ngoma nyingi bila mafanikio.

11348151_1124679907544180_395111175_n

Akizungumza na Stori Tatu kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Joh alisema wapo waliotoa ngoma 30 bila mafanikio lakini wimbo mmoja tu ukaja kuwabadilishia maisha yao.

“Kuna watu wanaimba nyimbo 10,20 hadi 30 lakini bado wanakuwa na maisha mabovu lakini anakuja kutoa wimbo wa 40 unabadili maisha yake yote,” alisema. “Lakini hata wimbo mmoja ukiutilia...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais wa wachimba Madini John Bina awapa wasanii changamoto, wasikate tamaa

JOHN

Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania John Bina akizungumza na wapenzi na washabiki wa msanii wa kizazi kipya wa mkoa wa Singida Small Jobiso, kwenye Pub ya Serengeti wakati wa utambilisho wa kikundi cha Watoto wa Chui.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

Wasanii wa vikundi mbalimbali wametakiwa kutokata tamaa pindi wanapoanzisha vikundi vyao kwa kukosa wadhamini wa kuwaendeleza, bali wakaze buti iko siku watatoka tu.

Changamoto hiyo imetolewa jana mjini hapa na Rais wa Shirikisho la...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ni Wakati Wetu Wasanii Kusimama- Steve Nyerere

~~MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu wana nafasi kubwa katika uongozi kwa ni kivutio cha wapiga kura kwa mantiki ni wakati wao kushiriki katika hatamu za uongozi, na kujiandikisha katika daftari la mpiga kura.

"Ni kweli tunahitaji mabadiliko katika utawala lakini hilo litafanikiwa tu pale tutaposhiriki kujiandikisha katika Daftari la mpiga kura, kama nilivyosema badala ya kusimama badala ya mgombea sasa tunasimama...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Wasanii wetu kususa tamasha ni aibu

>Siku chache zilizopita msanii  Yesaya Ambwene au AY  aliteuliwa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) kuwa balozi katika ‘Kampeni ya Tokomeza Ukatili Dhidi ya Watoto.’

 

10 years ago

Mwananchi

Tujenge utamaduni wa kuunga mkono wasanii wetu

Moja katika mambo ambayo wadau wa tasnia ya sanaa tumefanikiwa kuyafanya kwa umakini katika kipindi chote cha mwaka huu ni ushabiki. Watanzania ushabiki tunauweza na tunaweza kuwekeza muda na nguvu kazi katika hili.

 

10 years ago

GPL

R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA

MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika mazingira yasiyotarajiwa, Ijumaa linakupa hatua kwa hatua.Kumbukumbu za haraka zinabainisha kuwa, tangu mwaka 2011 mpaka 2014, wasanii  wenye majina makubwa na madogo wasiopungua 32 wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali. Recho Haule enzi za uhai wake. Inauma sana! Katika kipindi cha miaka mitatu kuwapoteza wasanii kwa kiasi hicho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani