Wasanii wetu na tamaa ya ubunge
NILIWAHI kuandika makala nyingi kuhusu sanaa na wasanii wetu hapa nchini.
Egbert Mtui
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Tukiwakatisha tamaa walimu nani atafundisha watoto wetu?
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Kukatishwa tamaa ni changamoto inayowarudisha nyuma wasanii
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
9 years ago
Bongo519 Nov
Joh Makini ana ujumbe kwa wasanii waliokata tamaa
![11348151_1124679907544180_395111175_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11348151_1124679907544180_395111175_n-300x194.jpg)
Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka wasanii kutokata tamaa hata wakiwa wametoa ngoma nyingi bila mafanikio.
Akizungumza na Stori Tatu kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Joh alisema wapo waliotoa ngoma 30 bila mafanikio lakini wimbo mmoja tu ukaja kuwabadilishia maisha yao.
“Kuna watu wanaimba nyimbo 10,20 hadi 30 lakini bado wanakuwa na maisha mabovu lakini anakuja kutoa wimbo wa 40 unabadili maisha yake yote,” alisema. “Lakini hata wimbo mmoja ukiutilia...
11 years ago
Dewji Blog12 Jul
Rais wa wachimba Madini John Bina awapa wasanii changamoto, wasikate tamaa
Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania John Bina akizungumza na wapenzi na washabiki wa msanii wa kizazi kipya wa mkoa wa Singida Small Jobiso, kwenye Pub ya Serengeti wakati wa utambilisho wa kikundi cha Watoto wa Chui.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Wasanii wa vikundi mbalimbali wametakiwa kutokata tamaa pindi wanapoanzisha vikundi vyao kwa kukosa wadhamini wa kuwaendeleza, bali wakaze buti iko siku watatoka tu.
Changamoto hiyo imetolewa jana mjini hapa na Rais wa Shirikisho la...
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Ni Wakati Wetu Wasanii Kusimama- Steve Nyerere
~~MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu wana nafasi kubwa katika uongozi kwa ni kivutio cha wapiga kura kwa mantiki ni wakati wao kushiriki katika hatamu za uongozi, na kujiandikisha katika daftari la mpiga kura.
"Ni kweli tunahitaji mabadiliko katika utawala lakini hilo litafanikiwa tu pale tutaposhiriki kujiandikisha katika Daftari la mpiga kura, kama nilivyosema badala ya kusimama badala ya mgombea sasa tunasimama...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
MAONI: Wasanii wetu kususa tamasha ni aibu
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Tujenge utamaduni wa kuunga mkono wasanii wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE5FaChOhOhFTCwfWJWfb34GYgjsEsCKhPt4IlQ*6beF8Ds44AowWiH-bAQpKIHdD5TMHCcdTB7iu0yP3X2sy2Ar/Front.jpg?width=650)
R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA