Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Wasanii wetu kususa tamasha ni aibu

>Siku chache zilizopita msanii  Yesaya Ambwene au AY  aliteuliwa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) kuwa balozi katika ‘Kampeni ya Tokomeza Ukatili Dhidi ya Watoto.’

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Aibu ni chaguzi za Z’bar, sio wapinzani kususa Bunge

BAADA ya yaliyotokea wiki iliyopita katika shughuli ya uzinduzi wa Bunge, watu wengi, hususan wan

Njonjo Mfaume

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa: Aibu watoto wetu kufanya kazi za ndani

MBUNGE wa Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa amewataka wazazi kuacha tabia ya kuwapeleka watoto wao waliohitimu darasa la saba kufanya kazi za ndani mijini kwa kuwa ni aibu kwa wakazi...

 

10 years ago

Bongo5

Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili

Wiki iliyopita ilifanyika tathmini ya tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) za mwaka jana, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye msimu mpya wa tuzo hizo kwa mwaka huu 2015. Kwa kawaida Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) hualika wadau mbalimbali kuhudhuria tathmini ya tuzo za mwaka uliopita kwa lengo la kuwapa nafasi ya kutoa […]

 

10 years ago

GPL

AIBU ILIYOJE! MUME WA MTU ANASWA NDANI YA DANGURO NA WAANDISHI WETU

Na Waandishi Wetu NI aibu iliyoje! Mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni mume wa mtu, amekutwa ndani ya danguro moja lililopo Sinza ya Mapambano jijini Dar ikiwa ni mazingira ya kutatanisha. Njemba huyo akisihi kuachiwa baada ya sakata hilo. Ishu hiyo ilijiri usiku wa manane wa Ijumaa kuelekea Jumamosi ya wiki iliyopita. Awali, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipokea taarifa kutoka kwa vyanzo vyake… ...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Ni aibu michezo kujiendesha kama yatima

Ni dhahiri kwamba nchi yetu itasubiri kwa muda mrefu kabla ya kuanza kuchuma kutoka kwenye sekta ya michezo inayoonekana wazi haina mwenyewe.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Panga pangua ya ratiba Ligi Kuu ni aibu kwa TFF

>Tangu Ligi Kuu ya Tanzania Bara ianze Septemba mwaka jana, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)  limekuwa likiipangua ratiba yake kwa sababu mbalimbali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii wajipange kuepuka aibu ya kutembeza bakuli

KUCHANGIANA ni  utaratibu unaofanyika katika kila jamii ya watu walioishi vema, hasa kwa mazingira ya Kitanzania, jambo ambalo limekuwepo tangu enzi. Kwamba, mtu akipata tatizo, uwe msiba au uzazi, ilikuwa...

 

10 years ago

Raia Mwema

Wasanii wetu na tamaa ya ubunge

NILIWAHI kuandika makala nyingi kuhusu sanaa na wasanii wetu hapa nchini.

Egbert Mtui

 

10 years ago

GPL

R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA

MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika mazingira yasiyotarajiwa, Ijumaa linakupa hatua kwa hatua.Kumbukumbu za haraka zinabainisha kuwa, tangu mwaka 2011 mpaka 2014, wasanii  wenye majina makubwa na madogo wasiopungua 32 wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali. Recho Haule enzi za uhai wake. Inauma sana! Katika kipindi cha miaka mitatu kuwapoteza wasanii kwa kiasi hicho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani