Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wajipange kuepuka aibu ya kutembeza bakuli

KUCHANGIANA ni  utaratibu unaofanyika katika kila jamii ya watu walioishi vema, hasa kwa mazingira ya Kitanzania, jambo ambalo limekuwepo tangu enzi. Kwamba, mtu akipata tatizo, uwe msiba au uzazi, ilikuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Wasanii wetu kususa tamasha ni aibu

>Siku chache zilizopita msanii  Yesaya Ambwene au AY  aliteuliwa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) kuwa balozi katika ‘Kampeni ya Tokomeza Ukatili Dhidi ya Watoto.’

 

11 years ago

Mwananchi

JWTZ wadaiwa kutembeza kipigo, wajeruhi

Wakazi wawili wa eneo la Kiluvya Gogoni, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam, Barnabas Swai (33), Pendo Mchaki (26) na Lugano Kalinga, wamejeruhiwa kutokana na kipigo cha watu wanaodaiwa kuwa ni askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, (JWT) na mmoja wao akilazwa katika Hospitali ya Mwananyamala.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

GPL

MAMA KANUMBA ATEMBEZA BAKULI

Na Mayasa Mariwata
MAMA wa msanii nguli wa filamu nchini marehemu ‘Steven Kanumba’ Frola Mtegoa amesema yuko katika mkakati wa kuandaa filamu inayohusu maisha ya mwanaye kiasi cha kufikia hatua ya kuomba msaada ‘kutembeza bakuli’. Mama mzazi wa marehemu ‘Steven Kanumba’ Frola Mtegoa. Akizungumza na paparazi wetu mama huyo alisema kwamba, anapata wakati mgumu kukamilisha jambo hilo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wauza mihadarati Mexico wajipange

Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto ametangaza vita kati ya serikali za manispaa ya nchi hiyo na magenge ya wauza mihadarati.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Iringa aitembezea bakuli Lipuli

MKUU wa Mkoa (RC) wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, ameanza kutembeza bakuli kuichangia Lipuli FC inayohitaji zaidi ya sh milioni 28 ili kufanikisha timu hiyo kuendelea na Ligi Daraja la...

 

9 years ago

Mwananchi

Udhamini TBL, bakuli la kamati Stars!

Hiki ni kichekesho cha aina yake, kwamba licha ya kamati ya ushindi ya Taifa Stars kuwataka Watanzania waichangie timu hiyo, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imekuwa ikitoa Dola 2 milioni kila mwaka (zaidi ya Sh4 bilioni) kwa ajili ya kuidhamini timu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Majaji wajipange kupokea kesi za Uchaguzi

Watanzania watakuwa wamehamasishwa na kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman kwamba chombo hicho kinatambua fika kwamba amani ya Taifa iko mikononi mwa  mhimili huo wa Dola hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri ataka Bunge la Katiba wajipange

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar wametakiwa kujipanga upya katika mchakato wa Bunge lijalo kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi kero za Muungano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani