Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Iringa aitembezea bakuli Lipuli

MKUU wa Mkoa (RC) wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, ameanza kutembeza bakuli kuichangia Lipuli FC inayohitaji zaidi ya sh milioni 28 ili kufanikisha timu hiyo kuendelea na Ligi Daraja la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMA KANUMBA ATEMBEZA BAKULI

Na Mayasa Mariwata
MAMA wa msanii nguli wa filamu nchini marehemu ‘Steven Kanumba’ Frola Mtegoa amesema yuko katika mkakati wa kuandaa filamu inayohusu maisha ya mwanaye kiasi cha kufikia hatua ya kuomba msaada ‘kutembeza bakuli’. Mama mzazi wa marehemu ‘Steven Kanumba’ Frola Mtegoa. Akizungumza na paparazi wetu mama huyo alisema kwamba, anapata wakati mgumu kukamilisha jambo hilo...

 

9 years ago

Mwananchi

Udhamini TBL, bakuli la kamati Stars!

Hiki ni kichekesho cha aina yake, kwamba licha ya kamati ya ushindi ya Taifa Stars kuwataka Watanzania waichangie timu hiyo, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imekuwa ikitoa Dola 2 milioni kila mwaka (zaidi ya Sh4 bilioni) kwa ajili ya kuidhamini timu hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii wajipange kuepuka aibu ya kutembeza bakuli

KUCHANGIANA ni  utaratibu unaofanyika katika kila jamii ya watu walioishi vema, hasa kwa mazingira ya Kitanzania, jambo ambalo limekuwepo tangu enzi. Kwamba, mtu akipata tatizo, uwe msiba au uzazi, ilikuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lipuli yailipua Polisi Moro

LIGI ya soka Daraja la Kwanza (FDL), raundi ya pili, ilianza juzi kwa Lipuli FC kuwapigisha kwata maafande wa Polisi Morogoro kwa kuwaadhibu mabao 3-1 kwenye Uwanja wa CCM Samora...

 

9 years ago

Habarileo

Ndabila awazia mabao Lipuli

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Tanzania Prisons na Moro United, Yona Ndabila amesema wamepania kuirejesha Lipuli ya Iringa kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara msimu ujao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashabiki wampiga Mwenyekiti Lipuli FC

MWENYEKITI wa Lipuli FC ya mjini hapa, Abuu Changawa ‘Majeki’, juzi alifanyiwa vurugu na mashabiki wa soka kwa kumshushia kipigo kwa madai ya kuhujumu timu na kushindwa kufanya vizuri katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kalinga amrithi Nsajigwa Lipuli

KLABU ya Lipuli ya Iringa, imemtangaza Fides Kalinga kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi chake, akirithi mikoba iliyoachwa wazi na Shadrack Nsajigwa, aliyetimkia nje ya nchi kucheza soka la kulipwa...

 

9 years ago

Habarileo

Mwakalebela aahidi kuipandisha Lipuli

MGOMBEA ubunge jimbo la Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Frederick Mwakalebela amesema moja ya mambo atakayoyafanya mara tu baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo ni kuhakikisha timu ya Lipuli FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza inapanda daraja.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbowe atembeza ‘bakuli’ kwa ajili ya kuingia Ikulu

Mbeya. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza mpango maalumu wa wapenzi na wanachama wa chama hicho kuchangia Sh10,000 kwa mwezi ili kupata fedha za kutosha kukiendesha chama ikwa lengo la kuiondoa CCM madarakani kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa njia ya kura.Mbowe alitoa kauli hiyo juzi wakati akihutubia mamia ya wakazi na wafuasi wa chama hicho  katika mkutano wa hadhara uliofanyika Viwanja vya Ruanda Nzovwe jijini Mbeya.Akifafanua kuhusu michango hiyo kwa kutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani