RC Iringa aitembezea bakuli Lipuli
MKUU wa Mkoa (RC) wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, ameanza kutembeza bakuli kuichangia Lipuli FC inayohitaji zaidi ya sh milioni 28 ili kufanikisha timu hiyo kuendelea na Ligi Daraja la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXuPjG*HRCafElXYHH425ZroR647ly0nG52VarI0Iteeqf-f3W9izPqW-BGLjl3M2PlRYY9Wsvxm*gGPrGCopq7A/KANUMBA.jpg?width=650)
MAMA KANUMBA ATEMBEZA BAKULI
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Udhamini TBL, bakuli la kamati Stars!
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Wasanii wajipange kuepuka aibu ya kutembeza bakuli
KUCHANGIANA ni utaratibu unaofanyika katika kila jamii ya watu walioishi vema, hasa kwa mazingira ya Kitanzania, jambo ambalo limekuwepo tangu enzi. Kwamba, mtu akipata tatizo, uwe msiba au uzazi, ilikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Lipuli yailipua Polisi Moro
LIGI ya soka Daraja la Kwanza (FDL), raundi ya pili, ilianza juzi kwa Lipuli FC kuwapigisha kwata maafande wa Polisi Morogoro kwa kuwaadhibu mabao 3-1 kwenye Uwanja wa CCM Samora...
9 years ago
Habarileo18 Oct
Ndabila awazia mabao Lipuli
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Tanzania Prisons na Moro United, Yona Ndabila amesema wamepania kuirejesha Lipuli ya Iringa kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara msimu ujao.
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mashabiki wampiga Mwenyekiti Lipuli FC
MWENYEKITI wa Lipuli FC ya mjini hapa, Abuu Changawa ‘Majeki’, juzi alifanyiwa vurugu na mashabiki wa soka kwa kumshushia kipigo kwa madai ya kuhujumu timu na kushindwa kufanya vizuri katika...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Kalinga amrithi Nsajigwa Lipuli
KLABU ya Lipuli ya Iringa, imemtangaza Fides Kalinga kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi chake, akirithi mikoba iliyoachwa wazi na Shadrack Nsajigwa, aliyetimkia nje ya nchi kucheza soka la kulipwa...
9 years ago
Habarileo10 Sep
Mwakalebela aahidi kuipandisha Lipuli
MGOMBEA ubunge jimbo la Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Frederick Mwakalebela amesema moja ya mambo atakayoyafanya mara tu baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo ni kuhakikisha timu ya Lipuli FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza inapanda daraja.
10 years ago
VijimamboMbowe atembeza ‘bakuli’ kwa ajili ya kuingia Ikulu