Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wampiga Mwenyekiti Lipuli FC

MWENYEKITI wa Lipuli FC ya mjini hapa, Abuu Changawa ‘Majeki’, juzi alifanyiwa vurugu na mashabiki wa soka kwa kumshushia kipigo kwa madai ya kuhujumu timu na kushindwa kufanya vizuri katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ndabila awazia mabao Lipuli

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Tanzania Prisons na Moro United, Yona Ndabila amesema wamepania kuirejesha Lipuli ya Iringa kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara msimu ujao.

 

9 years ago

Habarileo

Mwakalebela aahidi kuipandisha Lipuli

MGOMBEA ubunge jimbo la Iringa Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Frederick Mwakalebela amesema moja ya mambo atakayoyafanya mara tu baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo ni kuhakikisha timu ya Lipuli FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza inapanda daraja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kalinga amrithi Nsajigwa Lipuli

KLABU ya Lipuli ya Iringa, imemtangaza Fides Kalinga kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi chake, akirithi mikoba iliyoachwa wazi na Shadrack Nsajigwa, aliyetimkia nje ya nchi kucheza soka la kulipwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Iringa aitembezea bakuli Lipuli

MKUU wa Mkoa (RC) wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, ameanza kutembeza bakuli kuichangia Lipuli FC inayohitaji zaidi ya sh milioni 28 ili kufanikisha timu hiyo kuendelea na Ligi Daraja la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lipuli yailipua Polisi Moro

LIGI ya soka Daraja la Kwanza (FDL), raundi ya pili, ilianza juzi kwa Lipuli FC kuwapigisha kwata maafande wa Polisi Morogoro kwa kuwaadhibu mabao 3-1 kwenye Uwanja wa CCM Samora...

 

11 years ago

Mwananchi

USAJILI: Simba SC yasajili beki wa Lipuli

>Simba imemsajili beki wa Lipuli na Taifa Stars, Joram Mgeveke kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

Mtanzania

Wahuni wampiga chenga Rais Magufuli

Pg 1*Wamkimbia Dar kukwepa kodi , watimkia bandari za Tanga na Mtwara

NA MWANDISHI WETU

MTANDAO wa wafanyabiashara wasio waaminifu unaojihusisha na ukwepaji kodi wa bidhaa mbalimbali zinazoingizwa nchini kupitia bandari, umekimbia Dar es Salaam na kuhamishia shughuli zake kwenye mikoa ya Tanga na Mtwara.

Taarifa za uhakika zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi zimeeleza kuwa wafanyabiashara hao na mawakala wao wameondoa maskani yao kwenye Bandari ya Dar es Salaam na kuyapeleka bandari za Tanga na...

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi wampiga risasi mfanyabiashara nyumbani

Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamemvamia na kumjeruhi kwa risasi, mfanyabiashara maarufu wa simu jijini Mbeya, Obadia Mtawa (41).

 

10 years ago

Mwananchi

Kapuya, Misanga wampiga vijembe Sitta

 Utani wa Simba na Yanga ni sehemu ya kukumbukwa na Watanzania katika shughuli za Bunge Maalumu la Katiba linalotarajiwa kumalizika siku chache zijazo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani