Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahuni wampiga chenga Rais Magufuli

Pg 1*Wamkimbia Dar kukwepa kodi , watimkia bandari za Tanga na Mtwara

NA MWANDISHI WETU

MTANDAO wa wafanyabiashara wasio waaminifu unaojihusisha na ukwepaji kodi wa bidhaa mbalimbali zinazoingizwa nchini kupitia bandari, umekimbia Dar es Salaam na kuhamishia shughuli zake kwenye mikoa ya Tanga na Mtwara.

Taarifa za uhakika zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi zimeeleza kuwa wafanyabiashara hao na mawakala wao wameondoa maskani yao kwenye Bandari ya Dar es Salaam na kuyapeleka bandari za Tanga na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wahuni wampiga Jaji Warioba Dar

makonda vs wariobaFredy Azzah na Shabani Matutu, Dar es Salaam

MDAHALO wa kujadili Katiba inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, jana ulivunjika baada ya kutokea vurugu ambako Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, alipigwa vibao shingoni na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa CCM.

Hali hiyo ilijitokeza kwenye Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Ubungo   Dar es Salaam, baada ya kuvunjika  mdahalo huo uliokuwa umehudhuriwa na mamia ya watu, wengi wao wakiwa ...

 

10 years ago

Mwananchi

Magufuli alivyopiga chenga panga la CCM

Kama alivyowashangaza wengi pale alipojitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais Mei 29 mwaka huu, ndivyo Dk John Magufuli alivyowashangaza tena jana kufikia hatua hii ya tano bora.

 

9 years ago

GPL

JK, MAKAMBA WAMPIGA TAFU DK MAGUFULI KAMPENI MOGOGORO‏

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimtambulisha kwa wananchi Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni mjini Morogoro…
...

 

10 years ago

Mwananchi

URAIS CCM: Magufuli alivyopiga chenga panga la CCM

Dar es Salaam. Kama alivyowashangaza wengi pale alipojitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais Mei 29 mwaka huu, ndivyo Dk John Magufuli alivyowashangaza tena jana kufikia hatua hii ya tano bora.

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye  leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan...

 

10 years ago

Habarileo

Wahuni mitandaoni kubanwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahuni watatiza Bitcoin

Ni wakati mgumu kwa Bitcoin ambayo inaarifiwa imeshambuliwa na wahuni

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashabiki wampiga Mwenyekiti Lipuli FC

MWENYEKITI wa Lipuli FC ya mjini hapa, Abuu Changawa ‘Majeki’, juzi alifanyiwa vurugu na mashabiki wa soka kwa kumshushia kipigo kwa madai ya kuhujumu timu na kushindwa kufanya vizuri katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Genge la wahuni linaloogopwa Nigeria

Mshindi wa Nobeli na mwanafasihi Wole Soyinka alisaidia kuanzisha ari ya mshikamano katika vyuo vikuu mnamo mwaka 1950 lakini hakudhania kuwa hali itakuwa mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani