Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahuni watatiza Bitcoin

Ni wakati mgumu kwa Bitcoin ambayo inaarifiwa imeshambuliwa na wahuni

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Upinzani watatiza uchaguzi Thailand

Waandamanaji nchini Thailand wanazuia usambazaji wa karatasi za kupigia kura siku moja tu kabla ya uchaguzi mkuu

 

9 years ago

BBCSwahili

Wadukuzi watatiza tovuti za BBC

Tovuti zote za BBC leo zimekumbwa na matatizo kwa saa kadha baada ya kuvamiwa na wadukuzi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mgomo mpya watatiza Dimba la Brazil

Hofu yakumba maandalizi ya kombe la dunia baada ya Wafanyikazi wa usafiri kuamua kuendelea na mgomo wao jijini Sao Paulo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukosefu wa taa watatiza hesabu ya kura Pemba

Baada ya watanzania wanapiga kura Oktoba 25 kumchagua mrithi wa Rais Jakaya Kikwete shughuli ya kuhesabu kura imeanza tayari

 

10 years ago

Habarileo

Wahuni mitandaoni kubanwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Genge la wahuni linaloogopwa Nigeria

Mshindi wa Nobeli na mwanafasihi Wole Soyinka alisaidia kuanzisha ari ya mshikamano katika vyuo vikuu mnamo mwaka 1950 lakini hakudhania kuwa hali itakuwa mbaya.

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi: Waliovamia Amboni, Tanga ni wahuni

Na Amina Omari na Oscar Assenga, TANGA
KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki, amesema watu waliopambana na askari polisi na wale wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ni kikundi cha wahuni.
Harakati za mapambano baina ya polisi na wahalifu hao zilidumu kwa takribani saa 48, huku Mkuu wa Mkoa huo, Said Magalula akikiri kwamba wameshindwa kuwakamata watu hao.
Jana Ndaki aliwaambia waandishi wa habari kuwa, jeshi hilo linawashikilia watu kadhaa kutokana na tukio la majambazi kushambiliana na...

 

10 years ago

Mtanzania

Wahuni wampiga Jaji Warioba Dar

makonda vs wariobaFredy Azzah na Shabani Matutu, Dar es Salaam

MDAHALO wa kujadili Katiba inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, jana ulivunjika baada ya kutokea vurugu ambako Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, alipigwa vibao shingoni na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa CCM.

Hali hiyo ilijitokeza kwenye Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Ubungo   Dar es Salaam, baada ya kuvunjika  mdahalo huo uliokuwa umehudhuriwa na mamia ya watu, wengi wao wakiwa ...

 

9 years ago

Mtanzania

Wahuni wampiga chenga Rais Magufuli

Pg 1*Wamkimbia Dar kukwepa kodi , watimkia bandari za Tanga na Mtwara

NA MWANDISHI WETU

MTANDAO wa wafanyabiashara wasio waaminifu unaojihusisha na ukwepaji kodi wa bidhaa mbalimbali zinazoingizwa nchini kupitia bandari, umekimbia Dar es Salaam na kuhamishia shughuli zake kwenye mikoa ya Tanga na Mtwara.

Taarifa za uhakika zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi zimeeleza kuwa wafanyabiashara hao na mawakala wao wameondoa maskani yao kwenye Bandari ya Dar es Salaam na kuyapeleka bandari za Tanga na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani