Polisi: Waliovamia Amboni, Tanga ni wahuni
Na Amina Omari na Oscar Assenga, TANGA
KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki, amesema watu waliopambana na askari polisi na wale wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ni kikundi cha wahuni.
Harakati za mapambano baina ya polisi na wahalifu hao zilidumu kwa takribani saa 48, huku Mkuu wa Mkoa huo, Said Magalula akikiri kwamba wameshindwa kuwakamata watu hao.
Jana Ndaki aliwaambia waandishi wa habari kuwa, jeshi hilo linawashikilia watu kadhaa kutokana na tukio la majambazi kushambiliana na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-68l24cEUMGc/VN9sGy-APbI/AAAAAAACXLk/Xot5JHzQHhQ/s72-c/IMG-20150214-WA0080-1.jpg)
KUTOKA AMBONI TANGA POLISI YATOA TAMKOA HALI NI SHWARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-68l24cEUMGc/VN9sGy-APbI/AAAAAAACXLk/Xot5JHzQHhQ/s640/IMG-20150214-WA0080-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bSTCTZFXEDI/VN9sib9lJII/AAAAAAACXLs/OngIS39C8-U/s640/IMG-20150214-WA0049.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ie0GUNQqids/VN9s-GiwhVI/AAAAAAACXL0/cg58K4BpcCM/s640/IMG-20150214-WA0050.jpg)
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI KISSA PHARMACY LTD WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI TANGA(AMBONI CAVES)
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Taharuki yakumba Jiji la Tanga Polisi wakipambana na majambazi mapango ya Amboni
10 years ago
Mtanzania28 Mar
‘Gaidi’ wa Amboni Tanga mbaroni
NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
JESHI la Polisi mkoani Tanga, limedai kufanikiwa kumkamata mmoja wa watuhumiwa aliyehusika kwenye tukio lenye sura ya kigaidi katika mapango ya Amboni.
Zaidi Jeshi hilo limemuhusisha mtuhumiwa huyo na tukio la uporaji silaha kwa askari waliokuwa doria eneo la barabara ya nne na tano Mtaa wa Makoko jijini Tanga, Januari 26 mwaka huu.
Takribani mwezi mmoja uliopita, tukio hilo la Amboni ambalo msingi wa kujulikana kwake ulitokana na kuporwa kwa silaha hizo,...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Uhalifu wa Amboni Tanga unatufunza nini?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EDSSfayazGQ/VN8-ZppMCxI/AAAAAAAHDuU/njJm503vDSM/s72-c/06%2BAmboni%2BCaves%2BTanga%2BTanzania%2B(1).jpg)
Mwandani wa: Mapango ya Amboni mkoani Tanga
10 years ago
CloudsFM24 Feb
Watanzania watakiwa kutembelea mapango ya Amboni,Tanga
Watanzania wametakiwa kutembelea kutembelea (kutalii) kwenye mapango ya Amboni yaliyopo nje kidogo ya mji wa Tanga,kwani idadi imepungua kutokana na vyombo vya habari hasa magazeti kupotosha kuwa matukio ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni yalitokea maeneo hayo ya mapango.
![](http://api.ning.com/files/vshXEK8U-ig*B1jq3uOy4CCm6UsdHnVLE9YtBo35RYUmeB4rE2K03VXqMM4f6UmLkmu2b2CeKJCJneS0Azakh*XC76pkZ3pi/AMBONI1.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Feb
UHALIFU TANGA: Polisi: Hatujakamata mtu Tanga
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Said-17Feb2015.jpg)
Jeshi la Polisi nchini, limesema majambazi waliokuwa wamejificha katika mapango ya Amboni nje kidogo ya jiji la Tanga wamekimbia.
Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa jeshi hilo, Kamishna Paul Chagonja, akizungumza jana katika mahojiano na Radio One katika kipindi cha Kumepambazuka, alisema majambazi hao wamekimbia baada ya kuzidiwa nguvu na askari wa jeshi lake wanaoshirikiana na Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Hata hivyo, alisema vyombo...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Jeshi la Polisi Igunga lashikiliwa Ng’ombe 320 waliovamia mashamba ya wakulima na watu saba watuhumiwa kuharibu mali na kujeruhi
Ng’ombe wa wafugaji wa kabila la Kitaturu waishio kijiji cha Isakamaliwa, Wilayani Igunga wakiwa katika kituo cha Polisi Igunga wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia mashamba ya wakulima wa kijiji hicho.
Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Isakamaliwa ambao mashamba yao yalivamiwa na mifugo hiyo wakiwa kituo cha Polisi wakisubiri maelekezo ya askari mara baada ya kuwafikisha Ng’ombe waliovamia mashamba yao na kuwasababishia hasara.
Na Jumbe Ismailly,Igunga
JESHI la polisi wilayani...