‘Gaidi’ wa Amboni Tanga mbaroni
NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
JESHI la Polisi mkoani Tanga, limedai kufanikiwa kumkamata mmoja wa watuhumiwa aliyehusika kwenye tukio lenye sura ya kigaidi katika mapango ya Amboni.
Zaidi Jeshi hilo limemuhusisha mtuhumiwa huyo na tukio la uporaji silaha kwa askari waliokuwa doria eneo la barabara ya nne na tano Mtaa wa Makoko jijini Tanga, Januari 26 mwaka huu.
Takribani mwezi mmoja uliopita, tukio hilo la Amboni ambalo msingi wa kujulikana kwake ulitokana na kuporwa kwa silaha hizo,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI KISSA PHARMACY LTD WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI TANGA(AMBONI CAVES)
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Uhalifu wa Amboni Tanga unatufunza nini?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EDSSfayazGQ/VN8-ZppMCxI/AAAAAAAHDuU/njJm503vDSM/s72-c/06%2BAmboni%2BCaves%2BTanga%2BTanzania%2B(1).jpg)
Mwandani wa: Mapango ya Amboni mkoani Tanga
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Polisi: Waliovamia Amboni, Tanga ni wahuni
Na Amina Omari na Oscar Assenga, TANGA
KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki, amesema watu waliopambana na askari polisi na wale wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ni kikundi cha wahuni.
Harakati za mapambano baina ya polisi na wahalifu hao zilidumu kwa takribani saa 48, huku Mkuu wa Mkoa huo, Said Magalula akikiri kwamba wameshindwa kuwakamata watu hao.
Jana Ndaki aliwaambia waandishi wa habari kuwa, jeshi hilo linawashikilia watu kadhaa kutokana na tukio la majambazi kushambiliana na...
10 years ago
CloudsFM24 Feb
Watanzania watakiwa kutembelea mapango ya Amboni,Tanga
Watanzania wametakiwa kutembelea kutembelea (kutalii) kwenye mapango ya Amboni yaliyopo nje kidogo ya mji wa Tanga,kwani idadi imepungua kutokana na vyombo vya habari hasa magazeti kupotosha kuwa matukio ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni yalitokea maeneo hayo ya mapango.
![](http://api.ning.com/files/vshXEK8U-ig*B1jq3uOy4CCm6UsdHnVLE9YtBo35RYUmeB4rE2K03VXqMM4f6UmLkmu2b2CeKJCJneS0Azakh*XC76pkZ3pi/AMBONI1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-68l24cEUMGc/VN9sGy-APbI/AAAAAAACXLk/Xot5JHzQHhQ/s72-c/IMG-20150214-WA0080-1.jpg)
KUTOKA AMBONI TANGA POLISI YATOA TAMKOA HALI NI SHWARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-68l24cEUMGc/VN9sGy-APbI/AAAAAAACXLk/Xot5JHzQHhQ/s640/IMG-20150214-WA0080-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bSTCTZFXEDI/VN9sib9lJII/AAAAAAACXLs/OngIS39C8-U/s640/IMG-20150214-WA0049.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ie0GUNQqids/VN9s-GiwhVI/AAAAAAACXL0/cg58K4BpcCM/s640/IMG-20150214-WA0050.jpg)
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Taharuki yakumba Jiji la Tanga Polisi wakipambana na majambazi mapango ya Amboni
10 years ago
Mtanzania19 Feb
Wasomali wawili mbaroni Tanga
NA WAANDISHI WETU, TANGA
JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), limewatia mbaroni watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa na asili ya Somalia katika msako unaoendelea dhidi ya kundi la wahalifu wa silaha mkoani Tanga.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Jeshi la Polisi mjini hapa, kiliiambia MTANZANIA kuwa watu hao walikamatwa jana saa 5 asubuhi katika eneo la Kijiji cha Amboni Mafuriko, baada ya kuonekana katika eneo hilo wakiwa wanashangaa na hawajui...
10 years ago
Habarileo17 Feb
Watu kadhaa mbaroni Tanga
SERIKALI imetoa taarifa rasmi kuhusu uhalifu uliotikisa mkoani Tanga, ikisema hali ni shwari na umma wa Watanzania upuuze taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikitia hofu.