Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu kadhaa mbaroni Tanga

MKUU wa mkoa wa Tanga, Magalula Said MagalulaSERIKALI imetoa taarifa rasmi kuhusu uhalifu uliotikisa mkoani Tanga, ikisema hali ni shwari na umma wa Watanzania upuuze taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikitia hofu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MABASI YAPATA AJALI TANGA NA MOROGORO NA KUUWA WATU KADHAA

Basi la Ngorika lenye namba za Usajili T770 BKW lililokuwa kitoka jijini Dar es Salaam kwenda Arusha na lile la Kampuni ya RATCO T 274 DCP Tanga kwenda Dar es Salaam yamegongana uso kwa huso na kulihusisha gari lingine dogo aina ya Toyota Pass T 628 CXE na kusababisha vifo vya abiria 10 na majeruhi. Ajali hiyo ilitokea eneo la Mbweni Mkata, wilayani Handeni mkoni Tanga. 
Inaelezwa kuwa basi la Ratco lilgongana kwanza na gari dogo na kisha kwenda kugongana uso kwa uso na basi la Ngorika...

 

9 years ago

StarTV

Waziri wa Afya afanya ziara ya kushtukiza abaini dosari kadhaa Hospital ya Bombo Tanga

 

Waziri wa afya Maendeleo ya Jamii jinsia, Wazee na watoto Ummy Mwalimu amefanya ziara ya ghafla katika hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kukutana na dosari mbalimbali

 

Moja ya mambo yaliyomkera Ummy ni kuwakosa madaktari wa zamu katika hospitali hiyo pamoja na ukosefu wa mashuka kwa wagonjwa hali iliyowalazimu kutandika kanga zao.

 

 

Ilikuwa ni ziara ya kustukiza iliyofanywa na Waziri wa afya maendeleo ya jamii ,jinsia wazee na watoto katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Tanga ikiwemo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tunawashikiliawa watu kadhaa,Israel

Taarifa kutoka nchini Israeli zinasema kuwa serikali inawashikilia baadhi ya watu,mauaji ya kijana wa Kipalestina

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa wanashikiliwa mateka Sydney

Watu kadhaa wanashikiliwa mateka na mtu mmoja au zaidi wenye silaja katika mgahawa wa Lindt mjini Sydney, Australia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini

Watu kadhaa wameuawa wakati wa jaribio la wizi wa Ng'ombe katika jimbo la Warrap nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa waua katika milipuko Nigeria

Milipuko imetokea katika msikiti, na sehemu ya kuuza vyakula mjini Jos na mwingine wa kujitoa muhanga katika kanisa huko Patiskum

 

10 years ago

GPL

WATU KADHAA WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI KAHAMA

WATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama. Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na kupinduka. Idadi kamili ya waliopoteza maisha na majeruhi kwenye ajali hiyo bado...

 

9 years ago

Dewji Blog

HAPA KAZI TU: Majaliwa aibukia Bandari na kuwatia mbaroni maafisa kadhaa huku Rais akimsimamisha kazi Kamishna TRA!

DSC_1838

Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa  alipofanya ziara ya ghafla bandarini akisalimiana na uongozi wa TRA na TPA. 

WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa watano na watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 80/-.

Akizungumza na viongozi wa Mamlaka ya Bandari pamoja na viongozi wa TRA katika ziara ya kushtukiza leo mchana (Ijumaa, Novemba 27, 2015), Waziri Mkuu amewataka Kamishna...

 

11 years ago

Dewji Blog

Breaking News…Bomu lalipuka na kujeruhi watu kadhaa Arusha Night Park usiku huu

grenade

Habari za kuthibitika kutoka chanzo chetu kinasema  watu wasiofahamika wamerusha kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la mkono (Granade) kwenye Bar maarufu jijini Arusha inayofahamika kwa jina la Arusha Night Park iliyopo maeneo ya Mianzini.

Chanzo chetu kinasema kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa vibaya kutokana na mlipuko huo.

Tukio hilo limetokea wakati umati wa watu ukiwa umekusanyika kwenye Bar hiyo ukitazama mpira jioni hii.

MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutaendelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani