Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini
Watu kadhaa wameuawa wakati wa jaribio la wizi wa Ng'ombe katika jimbo la Warrap nchini Sudan Kusini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili. Watafanyiwa mazishi ya pamoja.Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa watu 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho...
10 years ago
BBCSwahili18 May
UNICEF:Watoto zaidi wauawa Sudan Kusini
UNICEF linasema kuwa wavulana na wasichana wenye umri wa hadi miaka 7 wameuawa ,kutekwa na kubakwa katika ghasia za hivi majuzi nchini Sudan Kusini.
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 5 zaidi wauawa Afrika Kusini
Watu watano zaidi wameuawa katika mashambulizi ya kibaguzi katika mji wa Durban nchini Africa Kusini.
5 years ago
CCM Blog25 May
WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA
![Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa Somalia](https://media.parstoday.com/image/4bsf62bea2a6c61djed_800C450.jpg)
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Sudan Kusini walibaka na kula watu:AU
Uchunguzi wa Umoja wa Afrika umebaini kuwa pande zote hasimu zilitekeleza ubakaji mauaji na ulaji wa watu wakati wa mapigano kati yao
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Kipindupindu chawaua watu 29 Sudan Kusini
Watu 29 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipundupindu nchini Sudan Kusini huku wengine 1000 wakiwa katika hatari ya maambukizi kulingana na Umoja wa mataifa.
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Watu 28 wauawa nchini China
kundi moja la watu waliojihami kwa visu limewauawa takriban watu 28 katika kituo kimoja cha treni huko Kunming.
11 years ago
BBCSwahili19 May
Watu 17 wauawa nchini Mali
Kuna hali ya wasiwasi mjini Kidal Kaskazini mwa Mali ambapo takriban watu 17 wameuawa katika mapigano ya siku tatu.
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Watu 1000 wakisiwa kuuwawa Sudan Kusini
Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini asema watu kama elfu moja wameuwawa, lakini hakuna uhakika
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania