Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipindupindu chawaua watu 29 Sudan Kusini

Watu 29 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipundupindu nchini Sudan Kusini huku wengine 1000 wakiwa katika hatari ya maambukizi kulingana na Umoja wa mataifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi

Wakimbizi 15 wa Burundi, wamefariki kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, baada ya kukimbilia usalama wao nchini Tanzania kwa mashua wakitokea nchini mwao Burundi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kimbunga kikali chawaua watu 6 India

Watu sita wameripoti kufariki nchini India baada ya kimbunga chenye nguvu nyingi kwa jina 'Hudhud' kupiga eneo la pwani ya India

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini walibaka na kula watu:AU

Uchunguzi wa Umoja wa Afrika umebaini kuwa pande zote hasimu zilitekeleza ubakaji mauaji na ulaji wa watu wakati wa mapigano kati yao

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 1000 wakisiwa kuuwawa Sudan Kusini

Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini asema watu kama elfu moja wameuwawa, lakini hakuna uhakika

 

10 years ago

BBCSwahili

UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini

UN imeonya kuwa makumi ya maelfu ya watu huenda wakafa kwa njaa Sudan Kusini kutokana na mapigano makali yanayozuia usambazaji wa vyakula vya msaada

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini

Watu kadhaa wameuawa wakati wa jaribio la wizi wa Ng'ombe katika jimbo la Warrap nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ

Watu 3 wameaga dunia na wengine 30 wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu mjini Dar es salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Watu milioni 10 kuelimishwa kipindupindu

WATANZANIA zaidi ya milioni 10 wanaotumia mitandao ya simu nchini, wanatarajia kunufaika kupata elimu kuhusu ugonjwa wa kipindupindu.

 

9 years ago

Mtanzania

Watu 19 wafariki dunia kwa kipindupindu

magesa-mulongoNa Benjamin Masese, Mwanza

SERIKALI imesema watu 631 mkoani Mwanza wameugua ugonjwa wa kipindupindu kati ya Januari  hadi Desemba 15, mwaka huu ambapo kati yao 19 wamefariki dunia.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo wakati akizungumza na madiwani pamoja watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu wiki iliyopita.

Wakati Mulongo akitoa takwimu hizo,  Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dk. Lwakyendera Onesmo  aliliambia MTANZNAIA jana kwamba wagonjwa wapya wameendelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani