Kipindupindu chawaua watu 29 Sudan Kusini
Watu 29 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipundupindu nchini Sudan Kusini huku wengine 1000 wakiwa katika hatari ya maambukizi kulingana na Umoja wa mataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 May
Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi
11 years ago
BBCSwahili12 Oct
Kimbunga kikali chawaua watu 6 India
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Sudan Kusini walibaka na kula watu:AU
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Watu 1000 wakisiwa kuuwawa Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ
9 years ago
Habarileo10 Dec
Watu milioni 10 kuelimishwa kipindupindu
WATANZANIA zaidi ya milioni 10 wanaotumia mitandao ya simu nchini, wanatarajia kunufaika kupata elimu kuhusu ugonjwa wa kipindupindu.
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Watu 19 wafariki dunia kwa kipindupindu
Na Benjamin Masese, Mwanza
SERIKALI imesema watu 631 mkoani Mwanza wameugua ugonjwa wa kipindupindu kati ya Januari hadi Desemba 15, mwaka huu ambapo kati yao 19 wamefariki dunia.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo wakati akizungumza na madiwani pamoja watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu wiki iliyopita.
Wakati Mulongo akitoa takwimu hizo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dk. Lwakyendera Onesmo aliliambia MTANZNAIA jana kwamba wagonjwa wapya wameendelea...