Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini

UN imeonya kuwa makumi ya maelfu ya watu huenda wakafa kwa njaa Sudan Kusini kutokana na mapigano makali yanayozuia usambazaji wa vyakula vya msaada

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UN:Raia hawana msaada wa chakula S Kusini

UN inasema kuwa mamia ya maelfu ya raia hawana msaada wa kuokoa maisha yao kufuatia kuondolewa kwa msaada wa kibinaadamu

 

10 years ago

Habarileo

Watu milioni 2.2 hawana ajira nchini

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema watu milioni 2.2 hapa nchini, sawa na asilimia 11.7 wanaostahili kufanya kazi hawana kazi, ambapo kati yao vijana ni milioni 1.4.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini kukosa chakula

Mashirika ya misaada yametahadharisha upungufu mkubwa wa chakula Sudan Kusini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia

Serikali ya Ethiopia imeonya kuwa watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame mkubwa uliokumba maeneo mengi nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini walibaka na kula watu:AU

Uchunguzi wa Umoja wa Afrika umebaini kuwa pande zote hasimu zilitekeleza ubakaji mauaji na ulaji wa watu wakati wa mapigano kati yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Kipindupindu chawaua watu 29 Sudan Kusini

Watu 29 wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipundupindu nchini Sudan Kusini huku wengine 1000 wakiwa katika hatari ya maambukizi kulingana na Umoja wa mataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 1000 wakisiwa kuuwawa Sudan Kusini

Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini asema watu kama elfu moja wameuwawa, lakini hakuna uhakika

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini

Watu kadhaa wameuawa wakati wa jaribio la wizi wa Ng'ombe katika jimbo la Warrap nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi Bunda hawana chakula

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kimeitaka serikali kupeleka chakula cha msaada kwa wananchi ambao mazao yao yameshambuliwa na tembo, kutoka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kwa sababu wanakabiliwa na njaa kubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani