UN:Raia hawana msaada wa chakula S Kusini
UN inasema kuwa mamia ya maelfu ya raia hawana msaada wa kuokoa maisha yao kufuatia kuondolewa kwa msaada wa kibinaadamu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
UN: Watu milioni 4 hawana chakula Sudan Kusini
UN imeonya kuwa makumi ya maelfu ya watu huenda wakafa kwa njaa Sudan Kusini kutokana na mapigano makali yanayozuia usambazaji wa vyakula vya msaada
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
ICRC:Raia wanahitaji chakula S Kusini
Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC inasema kuwa maelfu ya watu nchini Sudan Kusini wanahitaji pakubwa chakula, maji na huduma za matibabu.
10 years ago
Habarileo15 Aug
Wananchi Bunda hawana chakula
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kimeitaka serikali kupeleka chakula cha msaada kwa wananchi ambao mazao yao yameshambuliwa na tembo, kutoka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kwa sababu wanakabiliwa na njaa kubwa.
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Msaada wa chakula wahitajika Ethiopia
Zaidi ya watu milioni 8 nchini Ethiopia wanahitaji msaada wa dharura wa chakula kutokana na hali kali ya kiangazi ambayo imekumba baadhi ya maeneo ya taifa hilo.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
WFP kupunguza msaada wa chakula Uganda
Shirika la chakula duniani WFP limetangaza kuwa litapunguza kwa nusu kiwango chake cha msaada wa chakula nchini Uganda
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Sudan Kusini kukosa chakula
Mashirika ya misaada yametahadharisha upungufu mkubwa wa chakula Sudan Kusini.
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Tisho la uhaba wa chakula S:Kusini
Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza ametembelea kijiji kimoja ambapo watu wanakula mbegu na majani
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Vurusi vya corona: Mikakati iliyowekwa na serikali za Afrika kuhakikisha raia wanaendelea kupata chakula.
Tumekwama nyumbani kwasababu ya amri ya kutotoka nje, Richard Kabanda raia wa Uganda mwenye umri wa miaka 25, ana wasiwasi kuhusu chakula cha familia yake.
11 years ago
BBCSwahili11 Jan
Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG
Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania