Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ICRC:Raia wanahitaji chakula S Kusini

Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC inasema kuwa maelfu ya watu nchini Sudan Kusini wanahitaji pakubwa chakula, maji na huduma za matibabu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UN:Raia hawana msaada wa chakula S Kusini

UN inasema kuwa mamia ya maelfu ya raia hawana msaada wa kuokoa maisha yao kufuatia kuondolewa kwa msaada wa kibinaadamu

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia

Serikali ya Ethiopia imeonya kuwa watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame mkubwa uliokumba maeneo mengi nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tisho la uhaba wa chakula S:Kusini

Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza ametembelea kijiji kimoja ambapo watu wanakula mbegu na majani

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini kukosa chakula

Mashirika ya misaada yametahadharisha upungufu mkubwa wa chakula Sudan Kusini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vurusi vya corona: Mikakati iliyowekwa na serikali za Afrika kuhakikisha raia wanaendelea kupata chakula.

Tumekwama nyumbani kwasababu ya amri ya kutotoka nje, Richard Kabanda raia wa Uganda mwenye umri wa miaka 25, ana wasiwasi kuhusu chakula cha familia yake.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN: Hatutawaacha raia Sudan Kusini

Kikosi cha Umoja wa Mataifa kilichopo Sudan Kusini kimesema hawatawaacha raia baada ya wiki ya mapigano ya kikabila.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG

Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda

 

10 years ago

GPL

RAIA WA MAREKANI NA A.KUSINI WAUAWA

Raia wa marekani Luke Somers na mwenzak wa Afrika kusini Pierre Korkie wameuawa na wapiganaji wa kundi la Alqaeda nchini Yemen. Mwaandishi wa Mmarekani, Luke Somers na mwalimu raia wa Afrika Kusini, Pierre Korkie wameuwawa na wapiganaji wa Al-Qaeda nchini Yemen katika juhudi za kuwaokoa. Oparesheni hiyo ya kuwaokoa iliongozwa na vikosi maaulum vya Marekani na Yemen katika jimbo la kusini la Shabwa. Mwalimu raia wa Afrika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Miili ya raia wa A Kusini yarejeshwa

Miili ya raia wa Afrika Kusini waliokufa Nigeria miezi miwili iliyopita, yarejeshwa nyumbani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani