UN: Hatutawaacha raia Sudan Kusini
Kikosi cha Umoja wa Mataifa kilichopo Sudan Kusini kimesema hawatawaacha raia baada ya wiki ya mapigano ya kikabila.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Raia wa Uingereza auawa Sudan Kusini
Muingereza mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Juba nchini Sudan Kusini.
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Raia zaidi wakimbia makwao Sudan Kusini
Mashirika ya kutoa misaada yamesema maelfu ya watu wamehama makwao kufuatia mapigano nchini Sudan Kusini
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Miili ya raia wa A Kusini yarejeshwa
Miili ya raia wa Afrika Kusini waliokufa Nigeria miezi miwili iliyopita, yarejeshwa nyumbani
10 years ago
GPL![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/06/141206181427__79555812_soomerskorkie3.jpg)
RAIA WA MAREKANI NA A.KUSINI WAUAWA
Raia wa marekani Luke Somers na mwenzak wa Afrika kusini Pierre Korkie wameuawa na wapiganaji wa kundi la Alqaeda nchini Yemen. Mwaandishi wa Mmarekani, Luke Somers na mwalimu raia wa Afrika Kusini, Pierre Korkie wameuwawa na wapiganaji wa Al-Qaeda nchini Yemen katika juhudi za kuwaokoa. Oparesheni hiyo ya kuwaokoa iliongozwa na vikosi maaulum vya Marekani na Yemen katika jimbo la kusini la Shabwa. Mwalimu raia wa Afrika...
11 years ago
BBCSwahili11 Jan
Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG
Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Marekani:'Sudan inashambulia raia wake'
Marekani imeadai kuwa Sudan inaendeleza mashambulio dhidi ya raia katika majimbo ya Kordofan kusini na Blue Nile .
10 years ago
BBCSwahili11 May
UN:Raia hawana msaada wa chakula S Kusini
UN inasema kuwa mamia ya maelfu ya raia hawana msaada wa kuokoa maisha yao kufuatia kuondolewa kwa msaada wa kibinaadamu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania