Raia wa Uingereza auawa Sudan Kusini
Muingereza mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Juba nchini Sudan Kusini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mpiganaji wa IS raia wa Uingereza auawa.
10 years ago
StarTV16 Jun
Al Shabaab 1 raia wa Uingereza auawa Kenya
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/22/141022111140_al_shabaab_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Al Shabaab mmoja raia wa UK auawa Kenya
Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya hapo jana alikuwa ni raia wa Uingereza.
Duru za kijasusi za jeshi la Kenya zinasema kuwa mmoja kati ya watu wawili wazungu waliouawa anafahamika kama Thomas Evans, 25, ambaye ni raia wa Uingereza na anayetokea Buckinghamshire.
Bwana Evans, alisilimu na kubadili jina lake na kuitwa Abdul Hakim.
Familia yake imeiambia BBC kuwa inasubiri...
11 years ago
BBCSwahili23 Dec
UN: Hatutawaacha raia Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Raia zaidi wakimbia makwao Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya
10 years ago
Habarileo19 Sep
Jambazi raia wa Kenya auawa Tarime
WATU wawili akiwemo mkazi wa kitongoji cha Nchoke katika Kijiji cha Kubiterere, Kata ya Mwema wilayani hapa, Mwikwabe Kirutu (30) wameuawa katika mapambano baina ya wananchi na majambazi waliokuwa na bunduki mbili za kivita kijijini hapo.
5 years ago
CCM Blog08 May
RAIA WA CHINA MTAFITI WA CORONA AUAWA MAREKANI
![Bing Liu](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/183AF/production/_112174299_bingliu2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Raia 30 wa Uingereza wauawa Tunisia
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Raia 30 wa Uingereza waliuawa Tunisia