Jambazi raia wa Kenya auawa Tarime
WATU wawili akiwemo mkazi wa kitongoji cha Nchoke katika Kijiji cha Kubiterere, Kata ya Mwema wilayani hapa, Mwikwabe Kirutu (30) wameuawa katika mapambano baina ya wananchi na majambazi waliokuwa na bunduki mbili za kivita kijijini hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Nov
Raia wa Kenya afanya mauaji baa Tarime
MTUHUMIWA wa vitendo vya ujambazi kutoka Kijiji cha Masangura, Wilaya ya Kurya West nchi jirani ya Kenya, Chacha Marwa Gibai maarufu kama Mapengo anashikiliwa na polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya akituhumiwa kuua mtu kwa kumchoma kisu na kujeruhi mwingine kwa kisu katika vurugu aliyoianzisha baa mjini hapa.
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya
10 years ago
StarTV16 Jun
Al Shabaab 1 raia wa Uingereza auawa Kenya
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/22/141022111140_al_shabaab_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Al Shabaab mmoja raia wa UK auawa Kenya
Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya hapo jana alikuwa ni raia wa Uingereza.
Duru za kijasusi za jeshi la Kenya zinasema kuwa mmoja kati ya watu wawili wazungu waliouawa anafahamika kama Thomas Evans, 25, ambaye ni raia wa Uingereza na anayetokea Buckinghamshire.
Bwana Evans, alisilimu na kubadili jina lake na kuitwa Abdul Hakim.
Familia yake imeiambia BBC kuwa inasubiri...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Polisi Tarime yaua jambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya, Mkoa wa Mara, limemuua kwa kumpiga risasi jambazi mmoja na wengine watatu kunusurika katika tukio la kurushiana risasi katika Kitongoji cha...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Jambazi auawa katika majibishano ya risasi
MTU mmoja anayedaiwa kuwa jambazi sugu maarufu kama Ramadhani Jumanne ‘Rama Ndonga’ (37) ameuawa katika majibizano ya risasi kati yake na polisi yaliyotokea usiku wa kuamkia jana katika kijiji cha...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Jambazi tishio kwa wanawake Arusha auawa
9 years ago
Habarileo12 Sep
Mmoja auawa,tisa wajeruhiwa Tarime
MTU mmoja ameuawa na wengine tisa wamejeruhiwa vibaya baada ya wafuasi wanaosadikiwa kuwa ni wa vyama vya Chadema na CCM kupambana katika kata ya Nyanungu, wilaya ya Tarime mkoani Mara.
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Risasi zinavyotumika kuua raia Tarime
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini