Al Shabaab 1 raia wa Uingereza auawa Kenya
Al Shabaab mmoja raia wa UK auawa Kenya
Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya hapo jana alikuwa ni raia wa Uingereza.
Duru za kijasusi za jeshi la Kenya zinasema kuwa mmoja kati ya watu wawili wazungu waliouawa anafahamika kama Thomas Evans, 25, ambaye ni raia wa Uingereza na anayetokea Buckinghamshire.
Bwana Evans, alisilimu na kubadili jina lake na kuitwa Abdul Hakim.
Familia yake imeiambia BBC kuwa inasubiri...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mpiganaji wa IS raia wa Uingereza auawa.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Raia wa Uingereza auawa Sudan Kusini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Rn5ueynVmjy*3DDYwA2EUyS-fNEvHICf5wGGg05-fnnycNi8mdMjA-A2EEJ1gT1spHcUD7SyTcZ30RZ4L0JTO9/Thompson.jpg?width=650)
MWINGEREZA ALIYESILIMU AUAWA AKIWA NA AL-SHABAAB KENYA
10 years ago
Habarileo19 Sep
Jambazi raia wa Kenya auawa Tarime
WATU wawili akiwemo mkazi wa kitongoji cha Nchoke katika Kijiji cha Kubiterere, Kata ya Mwema wilayani hapa, Mwikwabe Kirutu (30) wameuawa katika mapambano baina ya wananchi na majambazi waliokuwa na bunduki mbili za kivita kijijini hapo.
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Jasusi wa Al Shabaab auawa Somalia
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mbunge auawa na Al Shabaab Mogadishu
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini