Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia

Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jasusi wa Al Shabaab auawa Somalia

Wakaazi wa Kusini mwa Somalia, wameambia BBC kuwa kamanda wa Al Shabaab ambaye pia ni jasusi mkuu wa kundi hilo ameuawa na majeshi ya Marekani

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al shabab auawa Somalia

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema imethibitisha kuwa shambulio la ndege la wiki iliyopita nchini Somalia dhidi ya Al Shabab.

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Shabaab ashambuliwa

Jeshi la Marekani limefanya shambulizi la makombora dhidi ya mtu anayeshukiwa kuwa mmoja wa viongozi wa al-Shabaab nchini Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Shabaab akamatwa

Kiongozi mkuu wa kundi la wapiganaji wa Alshabaab amekamatwa karibu na mji mmoja karibu na mpaka wa Kenya na Somali.

 

9 years ago

TheCitizen

Shabaab kills 12 in Somalia

At least 12 people were killed in the Somali capital yesterday after Al Shabaab gunmen used a vehicle packed with explosives to blast their way inside a hotel, police said.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ngome ya al-Shabaab yadhibitiwa Somalia

Vikosi vya Ethiopia na Somalia vimedhibiti Mji wa Radboore nchini Somalia

 

11 years ago

BBCSwahili

AL Shabaab washambulia ikulu Somalia

Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vikosi vyapambana na Al Shabaab Somalia

Makabiliano makali yanaendelea kati ya wanajeshi wa AMISOM na wapiganaji wa Al Shabaab katika eneo la hoteli ya wanajeshi hao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani