Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia
Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Jasusi wa Al Shabaab auawa Somalia
Wakaazi wa Kusini mwa Somalia, wameambia BBC kuwa kamanda wa Al Shabaab ambaye pia ni jasusi mkuu wa kundi hilo ameuawa na majeshi ya Marekani
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Kiongozi wa Al shabab auawa Somalia
Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema imethibitisha kuwa shambulio la ndege la wiki iliyopita nchini Somalia dhidi ya Al Shabab.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Kiongozi wa Al Shabaab ashambuliwa
Jeshi la Marekani limefanya shambulizi la makombora dhidi ya mtu anayeshukiwa kuwa mmoja wa viongozi wa al-Shabaab nchini Somalia.
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Kiongozi wa Al-Shabaab akamatwa
Kiongozi mkuu wa kundi la wapiganaji wa Alshabaab amekamatwa karibu na mji mmoja karibu na mpaka wa Kenya na Somali.
9 years ago
TheCitizen02 Nov
Shabaab kills 12 in Somalia
At least 12 people were killed in the Somali capital yesterday after Al Shabaab gunmen used a vehicle packed with explosives to blast their way inside a hotel, police said.
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
Ngome ya al-Shabaab yadhibitiwa Somalia
Vikosi vya Ethiopia na Somalia vimedhibiti Mji wa Radboore nchini Somalia
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
AL Shabaab washambulia ikulu Somalia
Serikali ya Somalia imedhibiti ikulu mjini Mogadishu na kuwaua wanamgambo wa Al shabaab waliovamia.
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Vikosi vyapambana na Al Shabaab Somalia
Makabiliano makali yanaendelea kati ya wanajeshi wa AMISOM na wapiganaji wa Al Shabaab katika eneo la hoteli ya wanajeshi hao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania