Kiongozi wa Al Shabaab ashambuliwa
Jeshi la Marekani limefanya shambulizi la makombora dhidi ya mtu anayeshukiwa kuwa mmoja wa viongozi wa al-Shabaab nchini Somalia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLAL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Kiongozi wa waasi ashambuliwa Ukraine
Mwanasiasa anayetambulika kama muasi mkuu nchini Ukraine yuko katika hali mahututi hospitalini baada ya watu waliokuwa wamejihami kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake.
11 years ago
GPLKIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI ASHAMBULIWA
Makamu Mwenyekiti Uenezi CHADEMA, Kanda ya Magharibi, Deogratius Liyunga akiwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana (Picha na Editha Karlo). Na Editha Karlo, Kigoma
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya...
11 years ago
MichuziKIONGOZI WA CHADEMA MKOANI KIGOMBA ASHAMBULIWA NA WATU WASIOJULIKANA
Maelezo ya picha;Makamu mwenyekiti Uenezi CHADEMA kanda ya Magharibi Deogratius Liyunga akiwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma(Maweni)baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana(Picha na Editha Karlo).
Na Editha Karlo,Kigoma.
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Magaharibi,Deogratius Liyunga na kupelekea kulazwa...
Na Editha Karlo,Kigoma.
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Magaharibi,Deogratius Liyunga na kupelekea kulazwa...
11 years ago
GPLKIONGOZI WA ZAMANI WA MUNGIKI ASHAMBULIWA, WATANO WAPOTEZA MAISHA
Aliyekuwa kiongozi wa Kundi la Mungiki, Maina Njenga akiwa Hospitali ya Wilaya ya Nyahururu baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana. WATU watano wamepoteza maisha huku aliyekuwa kiongozi wa Kundi la Mungiki, Maina Njenga akijeruhiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana nchini Kenya jana. Maina alikuwa akisafiri na wenzake kwa shughuli za kifamilia kabla ya kushambuliwa kwa risasi katika barabara ya Ol Kalou,...
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Kiongozi wa Al-Shabaab akamatwa
Kiongozi mkuu wa kundi la wapiganaji wa Alshabaab amekamatwa karibu na mji mmoja karibu na mpaka wa Kenya na Somali.
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia
Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.
11 years ago
GPLMAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI
Tukiacha mbali picha ambayo mara nyingi au kwa miaka mingi imekuwa ikijengwa vichwani mwa wengi wanapoona na kudhani kwamba fulani ni kiongozi bora [pengine kwa muonekano tu], au kwa sababu anashuka kutoka kwenye gari kwa mbwembwe, tabasamu baada ya kufunguliwa mlango na mkanda na kisha kupokelewa briefcase yake, yapo mambo kadhaa ambayo yanamfanya mtu awe kiongozi bora na sio bora kiongozi. Na kadri siku zinavyokwenda,...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Kificho ashambuliwa
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamemshambulia Mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho, kwa kuliendesha kisiasa. Mashambulizi hayo waliyatoa jana mara baada ya kuahirishwa kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania