Kiongozi wa waasi ashambuliwa Ukraine
Mwanasiasa anayetambulika kama muasi mkuu nchini Ukraine yuko katika hali mahututi hospitalini baada ya watu waliokuwa wamejihami kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Kiongozi wa Al Shabaab ashambuliwa
Jeshi la Marekani limefanya shambulizi la makombora dhidi ya mtu anayeshukiwa kuwa mmoja wa viongozi wa al-Shabaab nchini Somalia.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akTUaZfqXTUUFqhJqf2AF6D1pc4vn5cRSsrQ6evgxSkLn5qJ-chdEI-9UTdurLKqxCe63F2*pMchb4W79hfeNYCn/liyunga.jpg)
KIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI ASHAMBULIWA
Makamu Mwenyekiti Uenezi CHADEMA, Kanda ya Magharibi, Deogratius Liyunga akiwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana (Picha na Editha Karlo). Na Editha Karlo, Kigoma
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R96KkFzbKqA/U7kdC6dikoI/AAAAAAAFvR4/kJFecBZT6Iw/s72-c/unnamed+(18).jpg)
KIONGOZI WA CHADEMA MKOANI KIGOMBA ASHAMBULIWA NA WATU WASIOJULIKANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-R96KkFzbKqA/U7kdC6dikoI/AAAAAAAFvR4/kJFecBZT6Iw/s1600/unnamed+(18).jpg)
Na Editha Karlo,Kigoma.
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Magaharibi,Deogratius Liyunga na kupelekea kulazwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVW6NPVMF9Vm3a41tJ156vkpxoerWhgYtL4nc7bbuIgMbVrpkhHm8Y2YL1ujTq-j-cVe*6yPE-8sghk3V7ZuY8in/njenga.jpg)
KIONGOZI WA ZAMANI WA MUNGIKI ASHAMBULIWA, WATANO WAPOTEZA MAISHA
Aliyekuwa kiongozi wa Kundi la Mungiki, Maina Njenga akiwa Hospitali ya Wilaya ya Nyahururu baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana. WATU watano wamepoteza maisha huku aliyekuwa kiongozi wa Kundi la Mungiki, Maina Njenga akijeruhiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana nchini Kenya jana. Maina alikuwa akisafiri na wenzake kwa shughuli za kifamilia kabla ya kushambuliwa kwa risasi katika barabara ya Ol Kalou,...
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
'Hatujatoroka', wasema waasi wa Ukraine
Wapiganaji wanaounga mkono Urusi Mashariki mwa Ukraine wamepinga ripoti kwamba wameitoroka ngome yao kuu ya mji wa Slovianski.
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Waasi waanza kuondoka Ukraine
Jenerali wa jeshi kutoka aliyehusika katika kutekelezwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano amesema waasi wameanza kuondoka
10 years ago
BBCSwahili20 Sep
Serikali ya Ukraine na waasi waafikiana
Rais wa Zamani wa Ukraine amesema kuwa mpango wa amani umeafikiwa katika mazungumzo yanayolenga kusitisha vita huko Ukraine.
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
Ukraine:Waasi wadaiwa kukiuka mkataba
Serikali ya Ukraine inasema kuwa waasi wanaungwa mkono na Urusi wamekiuka pakubwa muafaka wa amani mara 20 zaidi.
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Kiongozi wa kundi la waasi auawa Syria
Kiongozi wa kundi moja kuu la waasi nchini Syria ameuawa kwenye shambulio la angani katika viunga vya mji wa Damascus.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania