KIONGOZI WA ZAMANI WA MUNGIKI ASHAMBULIWA, WATANO WAPOTEZA MAISHA
![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVW6NPVMF9Vm3a41tJ156vkpxoerWhgYtL4nc7bbuIgMbVrpkhHm8Y2YL1ujTq-j-cVe*6yPE-8sghk3V7ZuY8in/njenga.jpg)
Aliyekuwa kiongozi wa Kundi la Mungiki, Maina Njenga akiwa Hospitali ya Wilaya ya Nyahururu baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana. WATU watano wamepoteza maisha huku aliyekuwa kiongozi wa Kundi la Mungiki, Maina Njenga akijeruhiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana nchini Kenya jana. Maina alikuwa akisafiri na wenzake kwa shughuli za kifamilia kabla ya kushambuliwa kwa risasi katika barabara ya Ol Kalou,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Nov
SNOW ILIYOANGUKA BAFFALO, NEW YORK, WATANO WAPOTEZA MAISHA
![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79140000/jpg/_79140590_snow5.jpg)
![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79135000/jpg/_79135726_snow4.jpg)
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Kiongozi wa Al Shabaab ashambuliwa
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Kiongozi wa waasi ashambuliwa Ukraine
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akTUaZfqXTUUFqhJqf2AF6D1pc4vn5cRSsrQ6evgxSkLn5qJ-chdEI-9UTdurLKqxCe63F2*pMchb4W79hfeNYCn/liyunga.jpg)
KIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI ASHAMBULIWA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R96KkFzbKqA/U7kdC6dikoI/AAAAAAAFvR4/kJFecBZT6Iw/s72-c/unnamed+(18).jpg)
KIONGOZI WA CHADEMA MKOANI KIGOMBA ASHAMBULIWA NA WATU WASIOJULIKANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-R96KkFzbKqA/U7kdC6dikoI/AAAAAAAFvR4/kJFecBZT6Iw/s1600/unnamed+(18).jpg)
Na Editha Karlo,Kigoma.
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Magaharibi,Deogratius Liyunga na kupelekea kulazwa...
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Kiongozi wa zamani wa Ujerumani afariki
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA IDD MOSI KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
DC Makonda Idd Mosi kuzindua Club mpya ya Maisha Basement zamani New Maisha Club
Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya ‘Maisha Basement’ zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Club hiyo, Allan Ngugi na Meneja Uendeshaji wa Sam Kaliuki.
Mratibu...
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Mafuriko Dar: Watu 13 wapoteza maisha